Misri yaishambulia ISIS Libya
Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri akiwafariji wakuu wa Kanisa la Coptic
Ndege za kijeshi baada ya kutekeleza mashambulizi Libya
Waumini wa kanisa la Coptic wakiandamana nje ya mojawepo ya makani yao Misri
Jamaa ya marehemu wakiomboleza
uu wa kanisa la Coptic Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Feb
Misri yashambulia wapiganaji wa ISIS Libya
Taarifa kutoka Misri zasema kuwa, ndege za kijeshi zimewashambulia wapiganaji wa jihadi nchini Libya kwa mabomu, baada ya kutolewa kwa mkanda wa video ulioonyesha wakristo wa Misri wa madhehebu ya Coptic wakikatwa shingo.
Jeshi la Misri linasema kuwa limelenga kambi za Islamic State, kituo cha mafunzo na maghala ya silaha, katika shambulizi hilo la mapema leo alfajiri.
Walioshuhudia wanasema kuwa, mji wa Derna ulioko mashariki mwa Libya na ambao umetekwa na wapiganaji wa jihadi ndio...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Misri kuwaondosha raia wake Libya
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Marekani yaishambulia IS licha ya onyo
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Ufaransa yaishambulia Islamic State Iraq
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c4rTyZ2qy8g/VCkRQa9CPMI/AAAAAAAGmas/tFJ2OaYPX2M/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 May
Palmyra yaitekwa na ISIS
10 years ago
TheCitizen01 Apr
How this girl was lured by Isis terrorists
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75551000/jpg/_75551781_madrid.jpg)
Spain arrests eight in 'ISIS cell'
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
ISIS inatesa wakristo,OIC