ISIS inatesa wakristo,OIC
Jumuiya ya kimataifa ya kiislamu amewalalamikia wapiganaji wa kundi ISIS kuwanyima haki za kibinadamu wakristo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
AllAfrica.Com26 Mar
Katiba Draft Shortfalls, OIC in Spotlight
AllAfrica.com
Dodoma — THE attempt by Zanzibar to join the Organisation of Islamic Conference (OIC) in 1992 was mainly prompted by the urgent need to turn around the economy and fight poverty, a member of the Constituent Assembly, Mr Mohamed Raza, has said.
10 years ago
Habarileo03 Sep
OIC kusaidia vita dhidi ya ugaidi Afrika
JUMUIYA ya Nchi za Kiislamu Duniani (OIC), imelaani matukio ya kigaidi yanayoshika kasi, ikisema kamwe haiyaungi mkono makundi ya kigaidi yanayodai kufanya uhalifu kwa kigezo cha kutekeleza misingi ya dini ya Kiislamu.
11 years ago
Habarileo15 Jan
Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo
SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.
10 years ago
Habarileo16 Mar
Pengo: Waacheni Wakristo wajiamulie
“MAASKOFU hatuna mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu Katiba. Kuwaamulia ni kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao. “Waraka huu unaleta utengano katika taifa kuwa Wakristo tumechukua uamuzi dhidi ya Serikali na wengine....Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa tafakari yao binafsi bila shinikizo letu…”
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
IS latoa video ya mauaji ya wakristo
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
UN yalaani mateso ya Wakristo Iraq
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Picha za mauaji ya wakristo Pakistan
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c4rTyZ2qy8g/VCkRQa9CPMI/AAAAAAAGmas/tFJ2OaYPX2M/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba