Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISIS inatesa wakristo,OIC

Jumuiya ya kimataifa ya kiislamu amewalalamikia wapiganaji wa kundi ISIS kuwanyima haki za kibinadamu wakristo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

AllAfrica.Com

Katiba Draft Shortfalls, OIC in Spotlight


Katiba Draft Shortfalls, OIC in Spotlight
AllAfrica.com
Dodoma — THE attempt by Zanzibar to join the Organisation of Islamic Conference (OIC) in 1992 was mainly prompted by the urgent need to turn around the economy and fight poverty, a member of the Constituent Assembly, Mr Mohamed Raza, has said.

 

10 years ago

Habarileo

OIC kusaidia vita dhidi ya ugaidi Afrika

Rais Jakaya Kikwete (katikati), Rais Yoweri Museveni wa Uganda (kushoto) na viongozi wengine wanaounda Baraza la Amani na Usalama la nchi za Umoja wa Afrika (AU) wakiimba wimbo wa AU na wa Taifa la Kenya kabla ya kuanza kwa mkutano wa kuzungumzia ugaidi bara la Afrika na duniani kwa ujumla, Jijini Nairobi, Kenya jana. (Picha na Ikulu).JUMUIYA ya Nchi za Kiislamu Duniani (OIC), imelaani matukio ya kigaidi yanayoshika kasi, ikisema kamwe haiyaungi mkono makundi ya kigaidi yanayodai kufanya uhalifu kwa kigezo cha kutekeleza misingi ya dini ya Kiislamu.

 

11 years ago

Habarileo

Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo

SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

Pengo: Waacheni Wakristo wajiamulie

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo“MAASKOFU hatuna mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu Katiba. Kuwaamulia ni kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao. “Waraka huu unaleta utengano katika taifa kuwa Wakristo tumechukua uamuzi dhidi ya Serikali na wengine....Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa tafakari yao binafsi bila shinikizo letu…”

 

10 years ago

BBCSwahili

IS latoa video ya mauaji ya wakristo

Wanamgambo wa kundi la IS wametoa kanda ya video ambayo wanasema inaonyesha mauaji ya takriban Wakristo 30 kutoka Ethiopia

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yalaani mateso ya Wakristo Iraq

Umoja wa Mataifa limelaani mashambulizi yanayofanywa na wapiganaji wa Jihad wa Iraq dhidi ya wakristo wa eneo wanalolishikilia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Picha za mauaji ya wakristo Pakistan

Pakistan wamekusanyika kwa maziko ya waathiriwa wa mauaji ya siku ya jumapili yanayoaminiwa kufanywa na wanamgambo wa Taliban

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Mwananchi

Maaskofu Jukwaa la Wakristo: kataeni Katiba

Jukwaa la Wakristo Tanzania limewataka waumini wake kujiandikisha kwa wingi katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, kuisoma Katiba Inayopendekezwa na kujitokeza kuikataa kwa kupiga kura ya “hapana”.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani