Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS latoa video ya mauaji ya wakristo

Wanamgambo wa kundi la IS wametoa kanda ya video ambayo wanasema inaonyesha mauaji ya takriban Wakristo 30 kutoka Ethiopia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Picha za mauaji ya wakristo Pakistan

Pakistan wamekusanyika kwa maziko ya waathiriwa wa mauaji ya siku ya jumapili yanayoaminiwa kufanywa na wanamgambo wa Taliban

 

10 years ago

BBCSwahili

IS latoa ukanda wa video wa Al Baghdad

Kundi la Islamic State limetoa ujumbe kupitia mkanda wa video ambao linasema ulinaswa na kiongozi wake, Abu Bakr al-Baghdadi.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS watoa tena video ya mauaji

Kundi la wapiganaji wadola ya Kiislam IS limetoa video inayo onyesha mauaji ya zaidi ya watu 30 raia Ethiopia ambao ni Wakristo.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yatoa video ya mauaji ya 'jasusi'

Kanda hiyo ya video inamuonyesha mvulana mdogo akimpiga risasi na kumuua mfungwa mmoja mwenye asili ya kiyahudi na kiarabu.

 

9 years ago

MillardAyo

Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)

Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria ya kudhibiti matumizi ya silaha. Japo kumekuwa na mvutano mkubwa kuhusu Bunge la Marekani kupitisha sheria hiyo, jana January 5 2015 Rais wa Marekani alijikuta […]

The post Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video) appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yalaani mateso ya Wakristo Iraq

Umoja wa Mataifa limelaani mashambulizi yanayofanywa na wapiganaji wa Jihad wa Iraq dhidi ya wakristo wa eneo wanalolishikilia.

 

11 years ago

BBCSwahili

ISIS inatesa wakristo,OIC

Jumuiya ya kimataifa ya kiislamu amewalalamikia wapiganaji wa kundi ISIS kuwanyima haki za kibinadamu wakristo

 

11 years ago

Habarileo

Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo

SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani