UN yalaani mateso ya Wakristo Iraq
Umoja wa Mataifa limelaani mashambulizi yanayofanywa na wapiganaji wa Jihad wa Iraq dhidi ya wakristo wa eneo wanalolishikilia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6r1KKFQeXTJkOfyg-P7SysKOmPFGRNGWOXVnj4QCZ4OVnuxHeVDm8stANYP*cyFlioGAxvtu0wKR5LwDhoz*pME/MSUDANI.jpg)
MATESO JUU YA MATESO
10 years ago
BBCSwahili19 Apr
IS latoa video ya mauaji ya wakristo
11 years ago
Habarileo15 Jan
Waislamu watakiwa kutolalamikia Wakristo
SHEKHE Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban Simba, ametaka Waislamu kuacha kulalamika, kwamba Wakristo wamekuwa wakipewa upendeleo, badala yake watumie fursa wanazopata kuondokana na malalamiko hayo. Akizungumza katika maadhimisho ya Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW), yaliyofanyika kitaifa mkoani Kigoma jana, Mufti Simba alisema chanzo cha malalamiko hayo ni Waislamu kushindwa kujitolea katika mambo mbalimbali ya maendeleo.
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
ISIS inatesa wakristo,OIC
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
Picha za mauaji ya wakristo Pakistan
10 years ago
Habarileo16 Mar
Pengo: Waacheni Wakristo wajiamulie
“MAASKOFU hatuna mamlaka ya kuwaamulia au kuwalazimisha waumini wetu wafanye uamuzi gani kuhusu Katiba. Kuwaamulia ni kuwadharau kuwa hawawezi kufanya uamuzi sahihi wao wenyewe na kuingilia uhuru wao. “Waraka huu unaleta utengano katika taifa kuwa Wakristo tumechukua uamuzi dhidi ya Serikali na wengine....Tuwaache waumini wafanye uamuzi kwa tafakari yao binafsi bila shinikizo letu…”
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Israil yatakiwa kusaidia Wakristo zaidi
10 years ago
Habarileo06 Apr
Wakristo watakiwa kuombea Jeshi la Polisi
WAKRISTO nchini wametakiwa wakati wakiadhimisha sikukuu ya kufufuka Yesu Kristo (Pasaka) waliombee Jeshi la Polisi ili wasifanyiwe vitendo vya kinyama na baadhi ya watu wenye nia mbaya na nchi.
10 years ago
Habarileo31 Aug
Maelfu ya Wakristo wakimbia dini yao
WAKRISTO nchini Ujerumani wanazidi kujiondoa katika makanisa yao wakiudhiwa na utoaji wa zaka (kodi ya kanisa) ambayo wanaona ni kubwa.