Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Israil yatakiwa kusaidia Wakristo zaidi

Shule za Wakristo Israil zalalamika kuwa hazipatiwi ruzuku ya kutosha na serikali ikilinganishwa na wengine

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kutenga fedha kusaidia walemavu

WAKAZI wa Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha na maeneo jirani wameombwa kutenga sh 1,500 katika matumizi yao ya siku kwa ajili ya kuchangia gharama za uendeshaji wa kituo cha kulelea...

 

11 years ago

Mwananchi

Jamii yatakiwa kusaidia watoto wa kike Mwanza

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta ametoa wito kwa jamii nchini kuwasaidia watoto wa kike kukabiliana na changamoto za maisha na kuacha kujiingiza kwenye vitendo viovu.

 

11 years ago

Mwananchi

ATCL yatakiwa kujitanua zaidi

Wafanyabiashara na wananchi mbalimbali nchini wameeleza kufurahishwa na taarifa ya kurejeshwa kwa huduma za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kati ya Arusha na Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nuklia:Iran yatakiwa kuweka juhudi zaidi.

Uingereza imesema kuwa Iran inahitaji kunyumbuka zaidi iwapo inataka kuafikia mkataba kuhusu mpango wake wa kinuklia.

 

10 years ago

Dewji Blog

Elimu zaidi yatakiwa kubadili jamii kuthamini maalbino

DSC_0016

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism  la...

 

10 years ago

Mtanzania

Mikoa yatakiwa kutuma maombi zaidi Tamasha la Pasaka

msamaNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAM

MIKOA mbalimbali nchini imetakiwa kutuma maombi zaidi kwa kamati ya maandalizi ya Tamasha la Pasaka, ili kufanikisha kufana kwa tamasha hilo mwaka huu.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, hadi sasa ni mikoa 17 imefanikiwa kutuma maombi hayo, ambapo idadi hiyo ni kubwa na haijawahi kutokea tangu walipoanzisha tamasha lao mwaka 2000.

“Tumepokea maombi ya wadau kutoka mikoa 17 wakitaka tupeleke Tamasha la Pasaka...

 

10 years ago

GPL

ELIMU ZAIDI YATAKIWA KUBADILI JAMII KUTHAMINI MAALBINO‏

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na...

 

11 years ago

BBCSwahili

UN yataka Israil na Palestina kuzungumza

Baraza la Usalana la Umoja wa mataifa umezitaka Israil na Palestina kusitisha mapigano kufuatia idadi kubwa ya vifo

 

11 years ago

GPL

BENKI YA KCB YAJIKITA ZAIDI KUSAIDIA JAMII

Mganga mfawidhi wa hospitali ya Rufaa ya mkoa, Mawenzi, Dkt. Lwezaula Fredrick(katikati) akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhiwa misaada ya vifaa vya hospitali vyenye thamani ya shilingi milioni 15 kutoka kwa benki ya KCB Tanzania mjini Moshi, mkoa wa Kilimanjaro. Wakisikiliza kwa makini ni meneja wa tawi la Moshi benki ya KCB Tanzania, Oforo Erasmo(kushoto), Kaimu katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro, Mhandisi Alfred...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani