Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yataka Israil na Palestina kuzungumza

Baraza la Usalana la Umoja wa mataifa umezitaka Israil na Palestina kusitisha mapigano kufuatia idadi kubwa ya vifo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina

 Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israil yatakiwa kusaidia Wakristo zaidi

Shule za Wakristo Israil zalalamika kuwa hazipatiwi ruzuku ya kutosha na serikali ikilinganishwa na wengine

 

10 years ago

Michuzi

Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein

 Balozi wa Sudan nchini, Dr Yassir Mohamed Ali akijiandaa kusaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein, aliyefariki Jumatano wiki hiiBalozi wa Iran nchini, Mehd Aghajafari akisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Pakistan kuzungumza na Taliban

Kundi la waakilishi wa serikali nchini Pakistan linasafiri kuelekea katika eneo la wapiganaji wa Taliban Kaskazini Magharibi mwa taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nigeria kuzungumza na Stephen Keshi

Nigeria inafanya mazungumzo na Kocha Stephen Keshi

 

10 years ago

Bongo5

AY akutana na Youtube kuzungumza biashara

Baada ya kurejea kutoka Marekani alikoenda kushoot video mbili, Mzee wa Commercial, AY amesema akiwa huko alikutana na wawakilishi wa Youtube waliompa darasa la kuingiza fedha kwenye mtandao huo. AY amedai kuwa ameshauriwa kujiweka vizuri kwenye mitandao kwakuwa kuna pesa nyingi ambazo hazipaswi kuachwa. “Kikubwa kwanza nilifanya meeting na Youtube,” AY ameiambia Bongo5. “Kikubwa nilichokiangalia […]

 

11 years ago

GPL

Uganda yamzuia Okwi kuzungumza na Yanga

Mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi. Na Sweetbert Lukonge
BAADA ya kauli ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kuwa klabu hiyo inamdai mamilioni ya fedha mshambuliaji wake, Emmanuel Okwi kutokana na kushindwa kuitumikia timu hiyo kwa wakati mara baada ya kusajiliwa, suala hilo sasa limewekwa kiporo. Katibu Mkuu wa Yanga, Beno Njovu ameliambia Championi Ijumaa kuwa, bado hawajaamua cha kufanya juu ya Okwi kwa kuwa wanamsubiri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Buhari tayari kuzungumza na Boko Haram

Rais wa Nigeria Mahammadu Buhari ameahidi kuzungumza na Boko haramu ili kuwanusuru wasichana wa shule waliotekwa na wanamgambo hao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani