Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nuklia:Iran yatakiwa kuweka juhudi zaidi.

Uingereza imesema kuwa Iran inahitaji kunyumbuka zaidi iwapo inataka kuafikia mkataba kuhusu mpango wake wa kinuklia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Nuklia Iran:China yataka mwafaka

China imetaka kuwepo kwa maelewano kwenye mazungumzo ya nuklia na Iran

 

9 years ago

Mwananchi

Juhudi zaidi zifanyike kudhibiti Kipindupindu

Hadi sasa, watu 36 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu. Idadi hiyo ni watu 33 zaidi ya waliofariki ulipolipuka Agosti 15, jijini Dar es Salaam na wengine 26 walilazwa katika hospitali za Mwananyamala na Sinza.

 

11 years ago

Habarileo

Juhudi zaidi zatakiwa kuitangaza Serengeti

JITIHADA za ziada zinahitajika kuitangaza Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yenye maajabu saba ya asili duniani tofauti na sasa .

 

11 years ago

Mwananchi

ATCL yatakiwa kujitanua zaidi

Wafanyabiashara na wananchi mbalimbali nchini wameeleza kufurahishwa na taarifa ya kurejeshwa kwa huduma za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kati ya Arusha na Zanzibar.

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka juhudi zaidi kukabili mauaji ya Albino

DSC_0233

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye  anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. 

Na Mwandishi wetu

MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Israil yatakiwa kusaidia Wakristo zaidi

Shule za Wakristo Israil zalalamika kuwa hazipatiwi ruzuku ya kutosha na serikali ikilinganishwa na wengine

 

10 years ago

GPL

UN YATAKA JUHUDI ZAIDI KUKABILI MAUAJI YA ALBINO‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi. Na...

 

10 years ago

Mtanzania

Mikoa yatakiwa kutuma maombi zaidi Tamasha la Pasaka

msamaNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAM

MIKOA mbalimbali nchini imetakiwa kutuma maombi zaidi kwa kamati ya maandalizi ya Tamasha la Pasaka, ili kufanikisha kufana kwa tamasha hilo mwaka huu.

Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, hadi sasa ni mikoa 17 imefanikiwa kutuma maombi hayo, ambapo idadi hiyo ni kubwa na haijawahi kutokea tangu walipoanzisha tamasha lao mwaka 2000.

“Tumepokea maombi ya wadau kutoka mikoa 17 wakitaka tupeleke Tamasha la Pasaka...

 

10 years ago

Dewji Blog

Elimu zaidi yatakiwa kubadili jamii kuthamini maalbino

DSC_0016

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism  la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani