Nuklia:Iran yatakiwa kuweka juhudi zaidi.
Uingereza imesema kuwa Iran inahitaji kunyumbuka zaidi iwapo inataka kuafikia mkataba kuhusu mpango wake wa kinuklia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Nuklia Iran:China yataka mwafaka
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Juhudi zaidi zifanyike kudhibiti Kipindupindu
11 years ago
Habarileo10 May
Juhudi zaidi zatakiwa kuitangaza Serengeti
JITIHADA za ziada zinahitajika kuitangaza Hifadhi ya Taifa ya Serengeti yenye maajabu saba ya asili duniani tofauti na sasa .
11 years ago
Mwananchi27 May
ATCL yatakiwa kujitanua zaidi
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
UN yataka juhudi zaidi kukabili mauaji ya Albino
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na binti wa miaka 19 ambaye ni mlemavu wa ngozi na kutosikia, Masalu Masuka ambaye anaishi katika kituo cha watoto walemavu cha Buhangija baada ya kukimbia kwao Bariadi kukwepa wauaji wa albino. Binti huyo alijifungua mtoto wake akiwa kituoni hapo bila msaada wa muuguzi.
Na Mwandishi wetu
MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, na...
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Israil yatakiwa kusaidia Wakristo zaidi
10 years ago
GPLUN YATAKA JUHUDI ZAIDI KUKABILI MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
Mtanzania18 Feb
Mikoa yatakiwa kutuma maombi zaidi Tamasha la Pasaka
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAM
MIKOA mbalimbali nchini imetakiwa kutuma maombi zaidi kwa kamati ya maandalizi ya Tamasha la Pasaka, ili kufanikisha kufana kwa tamasha hilo mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama, hadi sasa ni mikoa 17 imefanikiwa kutuma maombi hayo, ambapo idadi hiyo ni kubwa na haijawahi kutokea tangu walipoanzisha tamasha lao mwaka 2000.
“Tumepokea maombi ya wadau kutoka mikoa 17 wakitaka tupeleke Tamasha la Pasaka...
10 years ago
Dewji Blog05 May
Elimu zaidi yatakiwa kubadili jamii kuthamini maalbino
Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye akiwakaribisha mameneja wa Redio za jamii nchini (hawapo pichani) walioshiriki kwenye mafunzo ya siku moja ya kutoa elimu kwa Redio za jamii nchini juu ya kuandaa vipindi vyenye ujumbe sahihi wa masuala yanayohusu watu wenye Albinism iliofanyika katika kituo cha Redio Jamii Sengerema hivi karibuni. Katikati ni Afisa mtetezi na ushawishi kutoka shirika linaloshughulika na watu wenye Albinism la...