Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nuklia Iran:China yataka mwafaka

China imetaka kuwepo kwa maelewano kwenye mazungumzo ya nuklia na Iran

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kasi kutafuta mwafaka kuhusu Nuklia

Mataifa sita yenye ushawishi duniani na pamoja na Iran yanakutana kwa awamu ya mwisho ya majadiliano kabla ya muda wa mwisho wa kufikia makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nuklia:Iran yatakiwa kuweka juhudi zaidi.

Uingereza imesema kuwa Iran inahitaji kunyumbuka zaidi iwapo inataka kuafikia mkataba kuhusu mpango wake wa kinuklia.

 

10 years ago

StarTV

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen,

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yataka waislamu kunusuru hadhi ya Uislamu

Rais wa Iran ametoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kusimama na kukabiliana na vurugu ambayo anasema ''inaipaka tope'' dini ya Uislamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nuklia:Msimamo wa Netanyahu wakosolewa

Marekani imekosoa kauli ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuwa wameshindwa kushughulikia mpango wa Nuklia wa Iran

 

10 years ago

BBCSwahili

Je Korea Kaskazini inamiliki zana za Nuklia ?

Korea Kaskazini imesema kuwa inaendelea kuimarisha mipango yake ya kupunguza ukubwa wa zana zake za kinyukilia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini kufanya jaribio la nuklia

Korea Kaskazini imetishia kufanya majaribio ya zana zake za nuklia katika jibu lake kwa vitisho vya umoja wa Mataifa kuchunguza visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jela kwa kufichua siri za kutengeza nuklia

Mwanasayansi wa zamani katika mahabara ya kitaifa Marekani amefungwa jela miaka 5 kwa kujaribu kuipatia nchi ya Venezuela siri za kutengeza bomu la nuklia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani