Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iran yataka waislamu kunusuru hadhi ya Uislamu

Rais wa Iran ametoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kusimama na kukabiliana na vurugu ambayo anasema ''inaipaka tope'' dini ya Uislamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza latoa onyo kali kwa wanaobeza Uislamu nchini

Jana Ijumaa ya Octoba 16,2015 Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza liliungana na Waislamu wengine kuadhimisha mwaka mpya wa Kiislamu ambao ni 1437.  Kwa kalenda ya Kiislamu sherehe hizo zilifanyika jana tarehe mbili, mwezi Muharamu mwaka wa 1437 (02.01.1437) ikiwa maadhimisho yanayoambatana na kumbukumbu ya Kuhama kwa Mtume Muhammad kutoka Mji wa Macca kwenda Madina. [MWANZA] Katika kuadhimisha sherehe hizo, Baraza hilo kupitia kwa Katibu wake Mkoani Mwanza Sheikh Mohamed Balla (Kulia...

 

5 years ago

CCM Blog

SPIKA MPYA WA BUNGE LA IRAN AHIMIZA UMOJA WA WAISLAMU DHIDI YA ISRAEL

Spika mpya wa Bunge la Iran ahimiza umoja wa Waislamu dhidi ya IsraelSpika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa Waislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.Mohammad Baqer Qalibaf ametoa mwito huo katika mazungumzo yake ya simu na Spika wa Bunge la Uturuki, Mustafa Sentop ambapo wamezungumzia matukio ya eneo hili la Asia Magharibi.Amesema mataifa ya Kiislamu yanapaswa kushirikiana na kuunganisha nguvu zao ili yaweza njama chafu zinazopangwa na utawala haramu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nuklia Iran:China yataka mwafaka

China imetaka kuwepo kwa maelewano kwenye mazungumzo ya nuklia na Iran

 

10 years ago

BBCSwahili

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kukoma

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen,

 

10 years ago

StarTV

Iran yataka vita dhidi ya Houthi kusitishwa.

Rais wa Iran Hassan Rouhani, ametoa wito wa kusitishwa kwa mashambulio dhidi ya wapiganaji wa Kihouthi nchini Yemen, akiyataja kama makosa makubwa.

Iran pia imepinga madai ya Saudi Arabia kuwa utawala wa Tehran unawapa wapiganaji hao wa Kihouthi ambao ni wa shia mafunzo ya Kijeshi.

Balozi wa Saudi Arabi mjini Tehran, alishutishwa kufika mbele ya wizara ya mambo ya nje ya Iran, kupokea rasmi malalamishi ya Iran.

Nchini Yemen, Ndege za kivita za muungano unaongozwa na Saudi Arabia, zimefanya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa

Mahakamu kuu nchini Saudia imeamua kuwa hukumu ya kifungo cha miaka 10 na viboko 1000 dhidi ya mwanablogu Raif Badawi aliyepatikana na hatia ya kutukana Uislamu itabaki vile ilivyo

 

10 years ago

Mwananchi

Madai haya ni zaidi ya Ukristo na Uislamu

Hivi karibuni, mwandishi mmoja aliandika akihoji hatua ya Rais Jakaya Kikwete kuwateua Waislamu kushika wizara nyeti zote.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Habarileo

Shekhe ataka Uislamu utofautishwe na ugaidi

SHEKHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameitaka jamii kutofautisha Uislamu na ugaidi, kwa kuwa dini hiyo na matendo hayo ni tofauti mithili ya ardhi na mbingu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani