Shekhe ataka Uislamu utofautishwe na ugaidi
SHEKHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameitaka jamii kutofautisha Uislamu na ugaidi, kwa kuwa dini hiyo na matendo hayo ni tofauti mithili ya ardhi na mbingu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Ugaidi:Rais wa Somalia ataka ushirikiano
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamoud, amesema kuwa Somalia na Kenya zinafaa kuimarisha uhusiano wao dhidi ya ugaidi,
10 years ago
Habarileo12 Apr
RPC ataka umakini uandishi wa ugaidi
KAMANDA wa Polisi mkoani Dodoma David Misime ameonesha hofu ya kuripotiwa kwa taarifa za kigaidi zisizo na uhakika.
10 years ago
Mwananchi20 May
Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi
>Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi amewataka wabunge kuwa kitu kimoja katika viti dhidi ya ufisadi na ugaidi na nchi yake itakuwa mstari wa mbele kushirikiana na Tanzania kupambana na maovu hayo.
10 years ago
GPL
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa
Mahakamu kuu nchini Saudia imeamua kuwa hukumu ya kifungo cha miaka 10 na viboko 1000 dhidi ya mwanablogu Raif Badawi aliyepatikana na hatia ya kutukana Uislamu itabaki vile ilivyo
11 years ago
Michuzi18 Jul
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Madai haya ni zaidi ya Ukristo na Uislamu
Hivi karibuni, mwandishi mmoja aliandika akihoji hatua ya Rais Jakaya Kikwete kuwateua Waislamu kushika wizara nyeti zote.
11 years ago
GPL
MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA
Meriam Ibrahim akiwa na mumewe Daniel Wani pamoja na mtoto wao wa kwanza. MWANAMKE wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa ubalozi wa Marekani mjini Khartoum, Sudan kwa zaidi ya mwezi mmoja. Meriam na familia yake wameondoka na ndege ya Serikali ya Italia wakisindikizwa na Makamu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Lapo Pistelli....
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Iran yataka waislamu kunusuru hadhi ya Uislamu
Rais wa Iran ametoa wito kwa ulimwengu wa Kiislamu kusimama na kukabiliana na vurugu ambayo anasema ''inaipaka tope'' dini ya Uislamu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania