Ugaidi:Rais wa Somalia ataka ushirikiano
Rais wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamoud, amesema kuwa Somalia na Kenya zinafaa kuimarisha uhusiano wao dhidi ya ugaidi,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 May
Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi
11 years ago
Habarileo30 Jul
Shekhe ataka Uislamu utofautishwe na ugaidi
SHEKHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameitaka jamii kutofautisha Uislamu na ugaidi, kwa kuwa dini hiyo na matendo hayo ni tofauti mithili ya ardhi na mbingu.
10 years ago
Habarileo12 Apr
RPC ataka umakini uandishi wa ugaidi
KAMANDA wa Polisi mkoani Dodoma David Misime ameonesha hofu ya kuripotiwa kwa taarifa za kigaidi zisizo na uhakika.
5 years ago
BBCSwahili08 Mar
Ugaidi Somalia: Kamanda wa Al-Shabab Bashir Mohamed Qorgab 'auawa katika shambulio la angani '
9 years ago
Habarileo17 Aug
Waziri ataka ushirikiano Tanzanite One
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ameagiza ushirikiano wa kutosha kwa maofisa watatu wa Shirika la Madini nchini (Stamico) waliopo katika mgodi wa Tanzanite One ili kupata matokeo chanya kwa maslahi ya Taifa.
10 years ago
Habarileo04 Mar
Nyalandu ataka ushirikiano kudhibiti majangili
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema kuwa Tanzania ni nchi ya kwanza Afrika kwa kuwa na eneo kubwa lililotengwa kwa ajili ya wanyama pori, na kutaka ushirikiano kulinda rasilimali hiyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A4OmYwuwNbk/VYlagLhlnII/AAAAAAAHizQ/DDzun8lsTEQ/s72-c/picha%2B3.jpg)
SIMBACHAWENE ATAKA USHIRIKIANO ATEKELEZE MAJUKUMU YA WIZARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-A4OmYwuwNbk/VYlagLhlnII/AAAAAAAHizQ/DDzun8lsTEQ/s640/picha%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_ZbuOCFCbgk/VYlagbdzWSI/AAAAAAAHizU/YRotc_rnCKg/s640/picha%2B4.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Oct
RC ataka ushirikiano kura kupigwa kwa amani
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadiki amewataka waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi na viongozi wa vyama vya siasa katika mkoa huo kuhakikisha kuwa wanafanya kazi zao kwa ushirikiano ili kuwawezesha wananchi kupiga kura kwa amani na utulivu na kuepusha manung’uniko yasiyokuwa na maana.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)