RC ataka ushirikiano kura kupigwa kwa amani
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadiki amewataka waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi na viongozi wa vyama vya siasa katika mkoa huo kuhakikisha kuwa wanafanya kazi zao kwa ushirikiano ili kuwawezesha wananchi kupiga kura kwa amani na utulivu na kuepusha manung’uniko yasiyokuwa na maana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Askofu Angowi ahimiza amani, ataka kura maoni
11 years ago
BBCSwahili28 May
Kura kupigwa kwa siku ya 3 Misri
10 years ago
Habarileo22 Oct
Kificho ataka ushirikiano kwa Mwanasheria Mkuu mpya
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho amewataka wajumbe wa baraza hilo kutoa kila aina ya ushirikiano kwa Mwanasheria Mkuu mpya Said Hassan Said ili kuweza kutekeleza majukumu yake vizuri.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-moTsISVlgWA/XmtO0Rw8gkI/AAAAAAAC01Q/Ocrd6LvFld4xCljYKngg-piHA9Qaz6bcgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI UMMY ATAKA USHIRIKIANO TOKA KWA WADAU VIRUSI VYA CORONA HAVIINGI TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-moTsISVlgWA/XmtO0Rw8gkI/AAAAAAAC01Q/Ocrd6LvFld4xCljYKngg-piHA9Qaz6bcgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Ummy alisema katika kikao hicho waliwaeleza wadau kama taarifa ya Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza hali ya maambukizi ya ugonjwa huo duniani, hivyo kama Serikali ni vyema kuwapatia taarifa wadau hao.
“Tumewapa taarifa wadau wetu na kuwahakikishia kwamba Tanzania hakuna mtu...
9 years ago
Mtanzania29 Oct
Lowassa ataka Kura zihesabiwe kwa mikono
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MGOMBEA urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusitisha kuhesabu kura kwa kutumia Teknolojia ya Tehama na badala yake zihesabiwe kwa mikono.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Lowassa alisema jaridhishwi na mwenendo wa matokeo ya kura za urais unavyotolewa na kueleza kuwa ukusanyaji huo wa matokeo umekuwa...
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
10 years ago
Habarileo09 Feb
Mwenyekiti UWT ataka kura za ndio kwa katiba
WANAWAKE wilayani hapa wameaswa kujitokeza kwa wingi kupigia kura za Ndiyo Katiba Inayopendekezwa, ikielezwa imebeba mambo mengi ya msingi kwa maendeleo ya mwanamke.
9 years ago
Habarileo24 Oct
TOC: Wanamichezo pigeni kura kwa amani
KAMATI ya Olimpiki Tanzania (TOC) imewataka wanamichezo wote wenye haki ya kupiga kura kujitokeza kwa wingi kesho kutumia haki yao ya kikatiba.