Mwenyekiti UWT ataka kura za ndio kwa katiba
WANAWAKE wilayani hapa wameaswa kujitokeza kwa wingi kupigia kura za Ndiyo Katiba Inayopendekezwa, ikielezwa imebeba mambo mengi ya msingi kwa maendeleo ya mwanamke.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uokE5xNBpI4/VEN53ia7UcI/AAAAAAAGr34/QEoVBPhaygs/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AWASHAWISHI WANANCHI NACHINGWEA KUIPIGIA KURA YA NDIO KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uokE5xNBpI4/VEN53ia7UcI/AAAAAAAGr34/QEoVBPhaygs/s1600/PIX%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s72-c/534807487.jpg)
UWT YAMPONGEZA RAIS KIKWETE KWA UTEUZI WA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kd73LQSybdo/UwNVKi9BisI/AAAAAAAFNyQ/emfkmYBa4os/s1600/534807487.jpg)
Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) umempongeza Mhe. Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete kwa uteuzi wa wajumbe wa Bunge la Katiba linalotarajia kuanza leo Mjini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo jijini Dar es Salaam kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Eva Mwingizi ilisema uteuzi wa Rais umezingatia umri, weledi, uzoefu na uwakilishi wa makundi mbalimbali ya kijamii.
Mwingizi alisema uteuzi huo umeangalia asilimia 50 ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s72-c/unnamed+(17).jpg)
MWENYEKITI CCM TAWI LA MOSCOW URUSI ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA MCHAKATO WA KATIBA, ASEMA SERIKALI MBILI NDIO SULUHISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mwenyekiti tawi la CCM Moscow Ndg Mfungahema Salim amesema muundo wa muungano wa serikali Mbili ndio suluhisho pekee la watanzania, Akizungumza katika kikao cha kamati ya siasa ya tawi kilichofanyika 05.06.2014, bwana Mfungahema alisema muungano wa serikali mbili ndio umetufikisha hapa tulipo na kuna mafanikio makubwa TULIYOYAPATA, pamoja na changamoto chache zinazojitokeza lakini zinarekebishika.
Bwana Mfungahema aliwataka...
10 years ago
GPL01 Feb
MWENYEKITI WA CCM DK. JAKAYA KIKWETE AWAASA WANACCM KUIPIGIA KURA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mwenyekiti UWT ahamia Chadema
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Arusha, Vicky Mollel amekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mollel ambaye aliwahi kuwa Diwani wa Viti Maalum Kata ya Daraja Mbili kupitia CCM anatarajiwa kukabidhiwa kadi ya uanachama Jumatano wiki hii na aliyekuwa mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Edward Lowassa.
Mollel aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa ameamua kukihama CCM baada ya kuchoshwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscZRThfVVNSbCOmFiN*wfTCycf-cQ83j9rHOumWBCsBO-ETXw4K23r5SrvJRhUHdmqehVqM0-0bMb4HwLPN-Cle8/unnamed72.jpg?width=650)
MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Mwenyekiti UWT Arusha ahamia Chadema
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Mwenyekiti UWT Ikungi atimuliwa CCM, aenda Chadema aangukia pua
Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Aluu Segamba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha),juu ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilayani humo, Christina Hamisi kujivua unachama na kufukuzwa kazi kwa madai ya kuvunja sheria, kanuni na taratibu za chama tawala.(Picha na Nathaniel Limu).
Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Singida, Mary Maziku akizungumza na wanahabari juu ya kufukuzwa uongozi aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Ikungi Christina Samwel...