Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa ataka Kura zihesabiwe kwa mikono

Pg 2NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MGOMBEA urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusitisha kuhesabu kura kwa kutumia Teknolojia ya Tehama na badala yake zihesabiwe kwa mikono.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Lowassa alisema jaridhishwi na mwenendo wa matokeo ya kura za urais unavyotolewa na kueleza kuwa ukusanyaji huo wa matokeo umekuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amesema kuwazuia wananchi kwenda nyumbani kwake kumshawishi agombee urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ni sawa na kuzuia mafuriko kwa mkono.

 

10 years ago

Habarileo

RC ataka ushirikiano kura kupigwa kwa amani

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecky Sadiki amewataka waratibu wa uchaguzi, wasimamizi wa uchaguzi na viongozi wa vyama vya siasa katika mkoa huo kuhakikisha kuwa wanafanya kazi zao kwa ushirikiano ili kuwawezesha wananchi kupiga kura kwa amani na utulivu na kuepusha manung’uniko yasiyokuwa na maana.

 

10 years ago

Habarileo

Mwenyekiti UWT ataka kura za ndio kwa katiba

WANAWAKE wilayani hapa wameaswa kujitokeza kwa wingi kupigia kura za Ndiyo Katiba Inayopendekezwa, ikielezwa imebeba mambo mengi ya msingi kwa maendeleo ya mwanamke.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKADIRIO YA AHADI 10 KUBWA ZILIZOTOLEWA NA MAGUFULI NA LOWASSA KWA WAPIGA KURA

Huku zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya kufikiwa kwa siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 25, wagombea urais wanaochuana kwa karibu kutokana na wingi wa watu wanaojitokeza katika kampeni zao, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wanaendelea kutoa ahadi nzito kadhaa kwa wapiga kura.

Kadiri inavyoonekana, ahadi hizo zikitekelezwa kwa asilimia 100, zitafanya muujiza kwa kuibadili Tanzania kutoka katika hali duni ya upatikanaji wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura

Hatimaye uchaguzi umemalizika!

Kitila Mkumbo

 

10 years ago

Michuzi

Mh. Lowassa aipigia kura ya ndio bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akijadiliana jambo na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo. Kulia ni Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Anna Chilolo.Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akipiga kura ya ndio wakati bunge lilipokuwa likipitisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo....

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA AIPIGIA KURA YA NDIO BAJETI KUU YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akijadiliana jambo na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo. Kulia ni Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Anna Chilolo.Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akipiga kura ya ndio wakati bunge lilipokuwa likipitisha bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo....

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA AZIDI KUHAMASIKA JUU YA KUTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS, AWAHIMIZA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWA WINGI DAFTARI LA WAPIGA KURA

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa akiwasalimia mamia ya wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa Dodoma, waendesha boda boda na wamachinga wa mkoa huo walioandamana hii leo hadi nyumbani kwake Area D mjini Dodoma kumuomba pindi wakati ukifika kwa mujibu wa taratibu za chama cha Mapinduzi (CCM) asisite kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Urais. 
Lowassa amesema anazidi kuhamasika kufuatia maombi ya watu wa makundi mbalimbali ya jamii wanao muomba kugombea urais mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani