Korea Kaskazini kufanya jaribio la nuklia
Korea Kaskazini imetishia kufanya majaribio ya zana zake za nuklia katika jibu lake kwa vitisho vya umoja wa Mataifa kuchunguza visa vya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 May
Je Korea Kaskazini inamiliki zana za Nuklia ?
Korea Kaskazini imesema kuwa inaendelea kuimarisha mipango yake ya kupunguza ukubwa wa zana zake za kinyukilia.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Korea Kaskazini yafanya jaribio la bomu
Hii ndio mara ya kwanza Korea Kaskazini imefanya majaribio ya bomu la nguvu ya maji {hydrogen}, majaribio ya awali hayakufanikiwa
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini
Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia
10 years ago
Vijimambo28 Dec
KOREA KASKAZINI YAMTUSI OBAMA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/19/141219200508_obama_640x360_afp_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2014/12/20/141220071928_sony_film_release_cancelled_640x360_afp_nocredit.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Korea Kaskazini kufikishwa ICC?
Baraza la umoja wa mataifa la haki za binadamu limesema Korea Kaskazini inastahili kufikishwa icc.
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
silaha za Korea kaskazini zazuwiwa
Umoja wa Mataifa umeiwekea vikwazo Kampuni ya Meli ya Korea Kaskazini ambayo ilikuwa ikiendesha Meli iliyokamatwa.
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Magereza ya Korea Kaskazini yanatisha
Ripoti ya UN imeeleza kwamba mfumo wa magereza Korea Kaskazini ni wa kuangamiza, kuua, kuwageuza wafungwa kuwa watumwa, ulio na unyanyasaji, ubakaji na uavyaji wa lazima wa mimba.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania