MATESO JUU YA MATESO

Stori: Erick Evarist na Mitandao Dunia haina huruma! Meriam Ibrahim, raia wa Sudan aliyetakiwa kuhukumiwa adhabu ya kifo kufuatia kuolewa na mwanaume Mkristo, Daniel Wani, raia wa Marekani, amezidi kuteseka baada ya kuachiwa huru kisha kudaiwa kukamatwa tena hivyo kumuongezea mateso juu ya mateso. Meriam Ibrahim, raia wa Sudan akiwa na mume wake (Daniel Wani ) ambaye ni mkristo. Mwanamke huyo aliachiwa huru Jumatatu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 May
Ni mateso
NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI
NI mateso. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya maelfu ya wananchi kukwama kusafiri, kutokana na madereva wa mabasi yaendayo mikoani kugoma jana.
Mbali ya mabasi yaendayo mikoani kugoma, jijini Dar es Salaam nako hali ilikuwa mbaya, baada ya madereva wa daladala nao kusitisha huduma ya usafirishaji.
Takwimu zinaonyesha karibu mabasi 300 hufanya safari kila siku kati ya Dar es Salaam, mikoani na na nchi jirani za Kenya, Uganda, Zambia, Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
11 years ago
GPL
HAYA NI ZAIDI YA MATESO
11 years ago
GPL
MIAKA 10 YA... MATESO KITANDANI
11 years ago
GPL
MATESO; KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA
11 years ago
GPL
MKE ASIMULIA MATESO ALIYOPATA YP
11 years ago
GPL
JACK PATRICK MATESO SAA 48
11 years ago
GPL
USIFURAHIE MATESO YA MTOTO WA MWENZAKO
11 years ago
GPL
SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
UN yalaani mateso ya Wakristo Iraq