Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MIAKA 10 YA... MATESO KITANDANI

HUJAFA hujaumbika. Hicho ndicho unachoweza kusema ukimuona na baadaye kumsikiliza Disnia Rajabu,32, mkazi wa mtaa wa Geza Ulole mkoani Tanga ambaye anaumwa uvimbe wa mguu kwa muda wa miaka 10 sasa bila kupata nafuu. Disnia hakuzaliwa na tatizo hilo, bali alilipata ukubwani, tena akiwa tayari ameshaolewa, lakini katika hali ya masikitiko makubwa, anadai mumewe alimkimbia mara baada ya kugundua kuwa yupo katika majaribu makubwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI

Mustapha Haruna akiwa amevimba tumbo na kulazwa hospitali ya rufaa Bugando, Mwanza. Gabriel Ng’osha na Haruni Sanchawa Eeh! Mungu tenda miujiza! Ni maneno ambayo unaweza kuyasema ukimuona Mustapha Haruna (32), mkazi wa Ndala mkoani Shinyanga anayesumbuliwa na tumbo kujaa maji baada ya moyo wake kupanuka. CHANZO CHA UGONJWA Akizungumza na Uwazi, kwa njia ya simu kutoka mkoani Shinyanga mama mzazi wa Mustapha,  Hidaya Mrisho...

 

9 years ago

Mwananchi

Mama alala kitandani miaka 15 bila msaada

Makosa yaliyofanywa kwenye operesheni ya Aisha Baraka, mkazi wa kitongoji cha Mshikamano wilayani Nachingwea, yamesababisha alale kitandani kwa miaka 15 sasa bila ya msaada.

 

11 years ago

GPL

FRANCIS BENARD; MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI, HANA NDUGU!

ALIPOPANDA basi kutoka Tanga kuelekea Dar es Salaam mwezi fulani mwaka 1984, hakujua kama ilikuwa ni siku yake ya mwisho kuwa mzima, mwenye mwili mkakamavu uliokamilika viungo vyote. Akiwaacha nyuma mkewe, Veneranda Makamba na watoto wake wawili, Bashangi (aliyekuwa na umri wa miaka 12) na James (10), Francis Benard aliyekuwa na umri wa miaka 46 wakati huo, uzima wake ulikomea maeneo ya Mto Wami, ambako alipata ajali iliyomlaza...

 

11 years ago

GPL

MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE

GRACE Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito wa kupindukia  wa kilo 111 (kama gunia moja la mahindi na viroba vitatu) hali iliyomsababishia akatishwe masomo na walimu katika Shule ya Msingi Amani, Ukonga, Ilala jijini Dar es Salaam alikokuwa anasoma. Grace Simon mwenye miaka 14 anateseka na uzito. Grace ambaye mwaka huu angekuwa darasa la saba lakini aliachishwa shule mwaka 2010 akiwa darasa la nne na walimu wakimtaka...

 

11 years ago

GPL

ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE

Shani Ramadhani na Denis Mtima, Dar es Salaam INASIKITISHA! Johanitha Robert Mulokozi (31) amekuwa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza mwili mzima.Mama huyo mwenye mtoto mmoja amekuwa akisumbuka na ugonjwa huo uliomfanya akose raha licha ya kupata matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Johanitha Robert Mulokozi  amekaa kitandani kwa miaka mitatu kutokana na kuugua ugonjwa wa kupooza...

 

11 years ago

GPL

KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11

Stori: makongoro oging’
“MAISHA yangu tangu tuoane na mume wangu yalikuwa mazuri tena yenye mapenzi ndani ya nyumba lakini tatizo limekuja kujitokeza pale nilipomzaa mtoto huyu Maimuna. Mtoto Maimuna aliyezaliwa miaka 11 iliyopita katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga akiwa na matatizo ya kichwa kujaa maji. “Sikumuona tena mume wangu au kujua alikoelekea, sipati hata salamu kwa simu, barua hata kwa...

 

11 years ago

GPL

MATESO JUU YA MATESO

Stori: Erick Evarist na Mitandao Dunia haina huruma! Meriam Ibrahim, raia wa Sudan aliyetakiwa kuhukumiwa adhabu ya kifo kufuatia kuolewa na mwanaume Mkristo, Daniel Wani, raia wa  Marekani, amezidi kuteseka baada ya kuachiwa huru kisha kudaiwa kukamatwa tena hivyo kumuongezea mateso juu ya mateso. Meriam Ibrahim, raia wa Sudan akiwa na mume wake (Daniel Wani ) ambaye ni mkristo.
Mwanamke huyo aliachiwa huru Jumatatu...

 

11 years ago

GPL

WEMA AMREKODI DIAMOND KITANDANI

Stori: Imelda Mtema
SINI ya malovee inaendelea! Penzi lenye historia ya kushamiri, kumwagana na kurudiana limezidi kuchukua sura mpya, safari hii, Wema Sepetu ‘Madam’ amenaswa akimrekodi video ‘bebi’ wake Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Wema na Diamond. Sosi ya kuvuja kwa sini hiyo mpya ilitokea Ijumaa iliyopita ambapo bila hiyana, bibie Wema aliamua kuitupia video katika Mtandao wa...

 

10 years ago

GPL

AUNT LULU HOI KITANDANI

Na Hamida Hassan
Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ yupo hoi kitandani baada ya kusumbuliwa na jino la juu ambalo anahofia kulitoa. Staa wa Filamu za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’. Akizungumza na Amani, Aunt Lulu alisema kuwa anajiona amekonda kwa maumivu ya jino tu na kutokana na vitisho anavyovipata kutoka kwa marafiki zake anaogopa kwenda kuling’oa. “Yaani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani