MIAKA 10 YA... MATESO KITANDANI

HUJAFA hujaumbika. Hicho ndicho unachoweza kusema ukimuona na baadaye kumsikiliza Disnia Rajabu,32, mkazi wa mtaa wa Geza Ulole mkoani Tanga ambaye anaumwa uvimbe wa mguu kwa muda wa miaka 10 sasa bila kupata nafuu. Disnia hakuzaliwa na tatizo hilo, bali alilipata ukubwani, tena akiwa tayari ameshaolewa, lakini katika hali ya masikitiko makubwa, anadai mumewe alimkimbia mara baada ya kugundua kuwa yupo katika majaribu makubwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Mama alala kitandani miaka 15 bila msaada
11 years ago
GPL
FRANCIS BENARD; MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI, HANA NDUGU!
11 years ago
GPL
MATESO! MIAKA 14, KILO 111, ASIMAMISHWA SHULE
11 years ago
GPL
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE
11 years ago
GPL
KAMA MWANAO MZIMA MSHUKURU MUNGU...MTOTO HUYU ANA MATESO MIAKA 11
11 years ago
GPL
MATESO JUU YA MATESO
11 years ago
GPL
WEMA AMREKODI DIAMOND KITANDANI
10 years ago
GPL
AUNT LULU HOI KITANDANI