FRANCIS BENARD; MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI, HANA NDUGU!
![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYDL8ksvzeClbb8PEBhs4Svbwt7L3f-QqjSBlYV1WkgvYun9c62ELVKV8c1z9hp89vC02t9ADxMQKCosRCdpmfux/FRANCIS.jpg?width=650)
ALIPOPANDA basi kutoka Tanga kuelekea Dar es Salaam mwezi fulani mwaka 1984, hakujua kama ilikuwa ni siku yake ya mwisho kuwa mzima, mwenye mwili mkakamavu uliokamilika viungo vyote. Akiwaacha nyuma mkewe, Veneranda Makamba na watoto wake wawili, Bashangi (aliyekuwa na umri wa miaka 12) na James (10), Francis Benard aliyekuwa na umri wa miaka 46 wakati huo, uzima wake ulikomea maeneo ya Mto Wami, ambako alipata ajali iliyomlaza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3BTpv6wbmiOUccDqX7pZxAqAcwEGArTyrSt573SLjEwsORYd7wCM1-Q1egIwRfyoyXZw2Bv1R5ZplkF9cZ2MM32/mtoto.jpg?width=650)
MIAKA 10 YA... MATESO KITANDANI
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Mama alala kitandani miaka 15 bila msaada
9 years ago
Dewji Blog04 Oct
JK amteua Ndugu Francis M. Mwakapalila kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Francis M. Mwakapalila (pichani) kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali kuanzia juzi, Alhamisi, Oktoba 1 , 2015.
Ndugu Mwakapalila anachukua nafasi ya Bibi Mwanaidi Mtanda ambaye amestaafu kazi kwa mujibu wa sheria.
Kabla ya uteuzi wake kuwa Mhasibu Mkuu wa Serikali, Ndugu Mwakapalila alikuwa Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGONJWA-SHY-3.jpg?width=650)
MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mzigo wa Muhimbili kuwalea wagonjwa wasio na ndugu
11 years ago
GPLWAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFUBYqpa*JOBR0zE-C7g-fAzMdyHetWbYVzSgiUZRomqU2nHqwruhZI5hKtKucQD3eZe5DKVIjjegKFHxUq2qmYR/ateseka.jpg)
ATESEKA KITANDANI MIAKA MITATU NI BAADA YA KUPEWA TAARIFA YA KIFO CHA BABA YAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DT603yzGgVkXqIyKBUiI8NQ0rRv7kMUgHxLOozsQpwIKliTW4aci4OTlvXFFZg9z6HxNMiXADGtSm6jwXOi6gN-/koleta.jpg?width=650)
KOLETA; MIAKA 32 ETI HANA HATA MCHUMBA!
10 years ago
BBCSwahili25 May
Papa Francis: Sijatazama Tv kwa miaka 25