Mzigo wa Muhimbili kuwalea wagonjwa wasio na ndugu
Yumkini baadhi yetu hatujawahi kulazwa hospitalini na wengine pengine tumelazwa kwa siku mbili, wiki au mwezi kisha tukaruhusiwa kutoka na kurudi nyumbani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-p0jEJxwrz8I/XplHLxf3rVI/AAAAAAAC3PY/w_CYpVomkggcrQP1kh01GS7IHnNf159FwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-26.jpg)
MARUFUKU WAGANGA WA JADI KUPOKEA WAGONJWA WASIO NA RIPOTI YA HOSPITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-p0jEJxwrz8I/XplHLxf3rVI/AAAAAAAC3PY/w_CYpVomkggcrQP1kh01GS7IHnNf159FwCLcBGAsYHQ/s400/1-26.jpg)
Chifu Nzunda amebainisha hayo katika kikao cha Kamati ya Amani ya Mkoa ilipokutana kujadiliana hatua zaidi za tahadhari zinazo paswa kuchukuliwa na Mkoa wa Songwe ili kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona.
Amesema ili mgonjwa apate matibabu kwa mganga wa...
10 years ago
Habarileo16 May
Wagonjwa zaidi wa moyo ‘wapasuliwa’ Muhimbili
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imewafanyia tiba ya moyo wagonjwa 66 katika kipindi cha siku saba bila kufungua kifua na pia kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo kwa kuweka kifaa maalumu.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wagonjwa Muhimbili wasotea huduma ya CT -Scan
Hadia Khamis na Johanes Respichius (RCT), Dar es Salaam
BAADHI ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo.
Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYDL8ksvzeClbb8PEBhs4Svbwt7L3f-QqjSBlYV1WkgvYun9c62ELVKV8c1z9hp89vC02t9ADxMQKCosRCdpmfux/FRANCIS.jpg?width=650)
FRANCIS BENARD; MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI, HANA NDUGU!
10 years ago
Habarileo12 Jun
Muhimbili yafungua kliniki kwa wagonjwa wa NHIF
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefungua kliniki kwa wagonjwa wanaotumia Mfuko wa Taifa wa Bima ya AFya (NHIF) huku kliniki hiyo ikikabiliwa na matatizo ya mitambo ya Xray, CT scan na mashine za digitali za kupimia tumbo (floroskopian).
9 years ago
MichuziMuhimbili yapokea mashine ya ventilator ya kusaidia wagonjwa kupumua
10 years ago
VijimamboBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WA MUHIMBILI