WAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI
KAMERA yetu jana ilitembelea Taasisi ya Tiba na Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), wodi za…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mzigo wa Muhimbili kuwalea wagonjwa wasio na ndugu
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini
WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...
11 years ago
BBCSwahili28 May
Moto waua wagonjwa 21 hospitalini Korea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s72-c/20200229_171553.jpg)
NEWZ ALERT: Rais Magufuli amjulia hali Mzee Mangula Hospitalini Muhimbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s640/20200229_171553.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 29 Februari, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ndg. Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_euRxtzEVi4/XlqfbFx0vKI/AAAAAAALgKI/IjecBetw02s7XXeq3P3Bou0Z17KzZ-z_wCLcBGAsYHQ/s640/20200229_171741.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IT5ThVq_ZhA/XlqfbHRei4I/AAAAAAALgKM/1tX9HkwoxQUlucLT3bzmh3trrFWX9QALQCLcBGAsYHQ/s640/20200229_172106.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQicRrfdA7M/XlqfcMp5sXI/AAAAAAALgKQ/FPD4KBDF3K8wJis7supbWUBprTOrUGlkACLcBGAsYHQ/s640/20200229_172107.jpg)
10 years ago
Habarileo16 May
Wagonjwa zaidi wa moyo ‘wapasuliwa’ Muhimbili
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imewafanyia tiba ya moyo wagonjwa 66 katika kipindi cha siku saba bila kufungua kifua na pia kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo kwa kuweka kifaa maalumu.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wagonjwa Muhimbili wasotea huduma ya CT -Scan
Hadia Khamis na Johanes Respichius (RCT), Dar es Salaam
BAADHI ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo.
Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYDL8ksvzeClbb8PEBhs4Svbwt7L3f-QqjSBlYV1WkgvYun9c62ELVKV8c1z9hp89vC02t9ADxMQKCosRCdpmfux/FRANCIS.jpg?width=650)
FRANCIS BENARD; MIAKA 29 KITANDANI MUHIMBILI, HANA NDUGU!
10 years ago
Habarileo12 Jun
Muhimbili yafungua kliniki kwa wagonjwa wa NHIF
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefungua kliniki kwa wagonjwa wanaotumia Mfuko wa Taifa wa Bima ya AFya (NHIF) huku kliniki hiyo ikikabiliwa na matatizo ya mitambo ya Xray, CT scan na mashine za digitali za kupimia tumbo (floroskopian).