Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moto waua wagonjwa 21 hospitalini Korea

Moto Uliozuka Hospitalini umewauwa watu 21 Nchini Korea Kusini. Wagonjwa wapatao 20 pamoja muuguzi mmoja wameuawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini

Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini

 

11 years ago

Tanzania Daima

Washauriwa kuwafikisha wagonjwa wa akili hospitalini

WATANZANIA wanaoishi na wagonjwa wenye matatizo ya  akili wametakiwa kuwafikisha hospitali mapema wagonjwa hao kutokana na ugonjwa huo kutibika. Kauli hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Daktari Bingwa...

 

11 years ago

GPL

WAGONJWA WASUBIRI KUTAMBULIWA NA NDUGU ZAO HOSPITALINI MUHIMBILI

KAMERA yetu jana ilitembelea Taasisi ya Tiba na Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI), wodi za…

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto

Sumbawanga. Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameendelea kumwaga ahadi mikoa ya Katavi na Rukwa na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa rais wahudumu wanaoiba dawa katika hospitali nchini watakiona cha moto.

 

10 years ago

BBCSwahili

Moto waua 96 Accra Ghana

Mlipuko wa moto katika kituo cha mafuta, Accra Ghana umeua watu 96 na uchunguzi zaidi unaendelea.

 

10 years ago

Habarileo

Moto waua abiria 18 wa basi Moro

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonald PauloWATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.

 

10 years ago

Habarileo

Moto waua abiria 18 wa basi Morogoro

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonald PauloWATU 18 wamekufa papo hapo kwa kuteketea kwa moto na wengine 11 wamejeruhiwa vibaya kutokana na basi walilokuwa wakisafiria kugongana na lori aina ya Mitsubishi Fuso, katika kijiji cha Msimba tarafa ya Mikumi, barabara kuu ya Morogoro – Mbeya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona Kenya kutibiwa nyumbani ili kupunguza msongamano hospitalini

Serikali ya Kenya inatenegeneza muongozo wa uangalizi salama wa wagonjwa wa virusi vya corona wakia nyumbani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Gari la wagonjwa lanusurika kuchomwa moto

GARI la wagonjwa lililotolewa msaada na Shirika la Africare kwa ajili ya Kituo cha Afya Mtowisa wilayani Sumbawanga, Rukwa limenusurika kuchomwa moto na wananchi wa eneo hilo kutokana kudaiwa kuchangia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani