Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto
Sumbawanga. Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameendelea kumwaga ahadi mikoa ya Katavi na Rukwa na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa rais wahudumu wanaoiba dawa katika hospitali nchini watakiona cha moto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Wizi wa dawa hospitalini waitesa serikali
11 years ago
BBCSwahili28 May
Moto waua wagonjwa 21 hospitalini Korea
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wananchi tupaze sauti kukemea ukosefu wa dawa hospitalini
HIVI karibuni iliripotiwa kuwa hospitali za umma zinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba, hali inayowaathiri zaidi wananchi wa kipato cha chini. Kuathirika huko kwa wananchi kunatokana na ukweli kwamba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s72-c/20200229_171553.jpg)
NEWZ ALERT: Rais Magufuli amjulia hali Mzee Mangula Hospitalini Muhimbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKdvPbo3dMk/XlqfazeDnnI/AAAAAAALgKE/AepBIr9ij-Agl_tYGozXy16MFs24BUYiACLcBGAsYHQ/s640/20200229_171553.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 29 Februari, 2020 amemtembelea na kumjulia hali Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg. Philip Mangula ambaye amelazwa katika chumba cha uangalizi maalum katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ndg. Mangula aliugua ghafla jana na kisha kukimbizwa hospitali kwa matibabu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-_euRxtzEVi4/XlqfbFx0vKI/AAAAAAALgKI/IjecBetw02s7XXeq3P3Bou0Z17KzZ-z_wCLcBGAsYHQ/s640/20200229_171741.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IT5ThVq_ZhA/XlqfbHRei4I/AAAAAAALgKM/1tX9HkwoxQUlucLT3bzmh3trrFWX9QALQCLcBGAsYHQ/s640/20200229_172106.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQicRrfdA7M/XlqfcMp5sXI/AAAAAAALgKQ/FPD4KBDF3K8wJis7supbWUBprTOrUGlkACLcBGAsYHQ/s640/20200229_172107.jpg)
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Watakiona
*Dk. Magufuli: Siku zao zinahesabika
*Lowassa asema akiingia Ikulu hataki mchezo
Bakari Kimwanga, Kigoma na Maregesi Paul, Bariadi
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema iwapo atachaguliwa kuwa rais, atahakikisha anakomesha vitendo mbalimbali vya kihalifu nchini ukiwamo ujambazi.
Mgombea huyo pia ametoa onyo kwa watu wasioitakia mema Tanzania wanaoingiza nchini silaha haramu na kusema kuwa siku zao zinahesabika.
Wakati Dk. Magufuli akitoa onyo hilo,...
10 years ago
Habarileo27 Nov
Mwigulu akerwa na wanaoiba mali za umma na kujiuzulu
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema wabadhirifu wa mali za umma wakiwemo wakwepa kodi, hawapaswi kujiuzulu nyadhifa zao, bali wafilisiwe mali.
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Shein: Watakaoivuruga Zanzibar watakiona
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Netanyahu: walioua wanajeshi watakiona