Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi tupaze sauti kukemea ukosefu wa dawa hospitalini

HIVI karibuni iliripotiwa kuwa hospitali za umma zinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba, hali inayowaathiri zaidi wananchi wa kipato cha chini. Kuathirika huko kwa wananchi kunatokana na ukweli kwamba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Wachora vibonzo tujitokeze, tupaze sauti ili serikali awamu ya tano ijue matarajio yetu

Mchora vibonzo Nathan Mpangala akifundisha uchoraji baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Koboko, Moshi mwaka 2011. Ili tufanikiwe katika sanaa, uibuaji na ukuzaji vipaji kuanzia umri mdogo havikwepeki.Hivi karibuni, Rais wa Jamhuri wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, ameteua Baraza la Mawaziri ikiwemo Wizara ya Habari, Michezo, Utamaduni na Wasanii (Sanaa) inayoongozwa na Mh. Nape Nnahuye. Binafsi kutajwa moja kwa moja  kwa wasanii (wa sanaa za ufundi, muziki, filamu na jukwaani) katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini

Polisi wilayani Rufiji, mkoani Pwani inamshikilia mtumishi wa hospitali ya wilaya ya Rufiji (jina linahifadhiwa) kwa tuhuma za wizi wa makopo 48 ya dawa za antibiotic katika hospitali hiyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wizi wa dawa hospitalini waitesa serikali

Serikali kupitia Wizara ya afya maendeleo ya jamii jinsia watoto na wazee  imesema  kati ya asilimia 70 ya dawa zinazotolewa na serikali kwenda kwenye hospitali na vituo vya afya  ni asilimia 30 pekee huwafikia walengwa.

 

10 years ago

Habarileo

Ukosefu wa dawa waathiri uzazi wa mpango

UKOSEFU wa dawa na uchache wa watoa huduma katika suala la uzazi wa mpango inaelezwa kuwa ni sababu kubwa ya Watanzania wengi hasa wa vijijini kushindwa kutumia njia za uzazi wa mpango.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukosefu wa dawa kuathiri afya Tanzania

Sekta ya afya ya umma nchini Tanzania iko katika hatari ya kukosa dawa muhimu kutokana na bohari kusitisha usambazaji

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto

Sumbawanga. Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameendelea kumwaga ahadi mikoa ya Katavi na Rukwa na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa rais wahudumu wanaoiba dawa katika hospitali nchini watakiona cha moto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukosefu wa viwanda vya dawa changamoto kwa MSD

BOHARI ya Dawa (MSD) ni taasisi ya serikali yenye majukumu ya  kununua, kuhifadhi, kusambaza dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara. MSD haiongezi faida katika bei za dawa na usambazaji...

 

10 years ago

Michuzi

DAWA YA JIKO KUPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Je. Unasumbuliwa  na  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume ?·        Unahitaji     tiba   ya  uhakika    kwa  ajili   ya  tatizo  lako  ?KAMA     JIBU  LAKO  NI  NDIO  BASI  HII  NI  HABARI   NJEMA  SANA  KWAKO.NEEMA  HERBALIST  &  NUTRITIONAL   FOODS   CLINIC   ni  duka  la   kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.Tunakujulisha  kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Ukosefu wa hakimu wa wilaya ya Makete kwaendelea kuwaumiza wananchi

 Wananchi wakisubiri kesi zao zianze.
Na Edwin Moshi wa Globu ya Jamii, Makete Watuhumiwa na walalamikaji mbalimbali wenye kesi zao katika mahakama ya wilaya ya Makete mkoani Njombe wameendelea kuonja tena machungu ya kuahirishiwa kesi zao leo Ijumaa Mei 09, kwa kile kilichoelezwa kuwa hakimu kushindwa kufika
Wakisikika wakiongea mahakamani hapo wakiwa katika makundi makundi, wamesema hawakatai wao kuahirishiwa kesi zao ila zinapoahirishwa mara kwa mara kwa muda mrefu inawaumiza wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani