Ukosefu wa dawa waathiri uzazi wa mpango
UKOSEFU wa dawa na uchache wa watoa huduma katika suala la uzazi wa mpango inaelezwa kuwa ni sababu kubwa ya Watanzania wengi hasa wa vijijini kushindwa kutumia njia za uzazi wa mpango.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
'Dawa' ya mpango wa uzazi kwa wanaume
9 years ago
Habarileo06 Sep
Ukosefu wa fedha waathiri Hospitali ya Mkoa Dodoma
HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma inakabiliwa na changamoto kubwa ya kifedha, hali iliyosababisha kushindwa kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya miundombinu hospitalini hapo yakiwemo majengo.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Ampicillin; Dawa za kutibu U.T.I (2)Usizitumie sanjari na dawa za kupanga uzazi
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Ukosefu wa dawa kuathiri afya Tanzania
10 years ago
BBCSwahili08 May
Njia ya uzazi wa mpango ya kipekee
9 years ago
Habarileo21 Oct
Wataka kipaumbele uzazi wa mpango
BAADHI ya wagombea ubunge mkoani Singida wameiomba serikali ijayo kutoa kipaumbele kwenye suala la uzazi wa mpango nchini. Wagombea ubunge wa majimbo ya Singida Mjini, Ikungi Magharibi na Mkalama walitoa mwito huo kwenye mahojiano maalumu yaliyoandaliwa na Muungano wa Klabu za Wanahabari Nchini (UTPC) chini ya Mradi wa Mama Ye unaohimiza matumizi ya njia za Uzazi wa Mpango.
9 years ago
Habarileo05 Dec
Muuguzi ahimiza uzazi wa mpango
JAMII ya watu wenye ulemavu nchini, imeombwa kujiunga na huduma za uzazi wa mpango ili wawe na uwezo wa kujikimu katika maisha na kuondokana na dhana kuwa hawastahili kujiunga na huduma hizo.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Ukosefu wa viwanda vya dawa changamoto kwa MSD
BOHARI ya Dawa (MSD) ni taasisi ya serikali yenye majukumu ya kununua, kuhifadhi, kusambaza dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara. MSD haiongezi faida katika bei za dawa na usambazaji...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wananchi tupaze sauti kukemea ukosefu wa dawa hospitalini
HIVI karibuni iliripotiwa kuwa hospitali za umma zinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba, hali inayowaathiri zaidi wananchi wa kipato cha chini. Kuathirika huko kwa wananchi kunatokana na ukweli kwamba...