Ukosefu wa fedha waathiri Hospitali ya Mkoa Dodoma
HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma inakabiliwa na changamoto kubwa ya kifedha, hali iliyosababisha kushindwa kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya miundombinu hospitalini hapo yakiwemo majengo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Dec
Ukosefu wa dawa waathiri uzazi wa mpango
UKOSEFU wa dawa na uchache wa watoa huduma katika suala la uzazi wa mpango inaelezwa kuwa ni sababu kubwa ya Watanzania wengi hasa wa vijijini kushindwa kutumia njia za uzazi wa mpango.
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mkoa wa Dodoma kuzindua mradi wa kukabiliana na upungufu wa dawa katika hospitali na zahanati kesho
Na Mwandishi wa MAELEZO, Dodoma
Mkoa wa Dodoma unatarajia kuzindua Mradi wa Kuboresha na kuimarisha mfumo wa uuzaji na usambazaji wa dawa katika wilaya zote.
Hatua hiyo inalenga kuboresha na Kuimarisha Mfumo wa Afya ili kukabiliana na upungufu wa huduma za dawa katika Hospitali ,Vituo vya Afya na Zahanati katika Mkoa wote wa Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo mjini Dodoma chini ya Mradi wa Tuimarishe Afya wa Uswis na Tanzania , duka mmoja la dawa...
9 years ago
Dewji Blog28 Nov
Mkurugenzi Msaidizi shughuli za Bunge, afariki dunia wakati akipelekwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma
10 years ago
Habarileo27 Oct
Uhaba wa watumishi waathiri hospitali, vituo vya afya
UHABA wa watumishi katika hospitali na vituo vya afya mkoani Rukwa umetakiwa kutatuliwa haraka kuleta ufanisi katika utekelezaji wa kampeni ya kukomesha vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.
10 years ago
Habarileo02 Nov
Ucheleweshaji wa fedha waathiri halmashauri Rukwa
KILIO cha ucheleweshaji au utoaji pungufu wa fedha za bajeti kutoka serikali kuu kimeendelea kutawala halmashauri zote katika Mkoa wa Rukwa, ambazo watendaji wake wameomba juhudi zifanyike kunusuru miradi ya maendeleo kukwama.
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V_hXhFyltC8/Xru3EzYS6PI/AAAAAAALqBQ/CNdLvb3Pyrw3SqtibrD9VzmG5Gi8IyIzQCLcBGAsYHQ/s72-c/728A7594AAA-768x512.jpg)
ZIARA YA KAMISHNA WA THBUB KATIKA HOSPITALI MKOA WA DODOMA,KITUO CHA KUTUNZA WATOTO NA WAZEE CHA HOME OF JOY AND LOVE
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_hXhFyltC8/Xru3EzYS6PI/AAAAAAALqBQ/CNdLvb3Pyrw3SqtibrD9VzmG5Gi8IyIzQCLcBGAsYHQ/s640/728A7594AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/728A7684AAA-1024x682.jpg)