Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ucheleweshaji wa fedha waathiri halmashauri Rukwa

KILIO cha ucheleweshaji au utoaji pungufu wa fedha za bajeti kutoka serikali kuu kimeendelea kutawala halmashauri zote katika Mkoa wa Rukwa, ambazo watendaji wake wameomba juhudi zifanyike kunusuru miradi ya maendeleo kukwama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ucheleweshaji fedha kikwazo afya bure

CHANGAMOTO zinazojitokeza kwenye mpango wa serikali wa kutoa huduma za afya bure katika makundi maalumu zinachangiwa na serikali kushindwa kufikisha fedha za mpango huo kwa wakati. Hayo yalibainishwa jijini Dar...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yalalamikia ucheleweshaji wa fedha za miradi


NA THEODOS MGOMBA, KONDOA
SERIKALI imeshauriwa kutoa fedha kwa wakati kwenda katika halmashauri baada ya bajeti yake kumalizika.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wakazi wa kijiji cha Gwandi kilichoko wilayani Chemba mkoani Dodoma.
Kinana alisema kumekuwepo na ucheleweshaji wa miradi mbalimbali ya serikali kutokana na fedha kutofika kwa wakati katika halmashauri nyingi.
Alisema hali hiyo imekuwa ikirudisha nyuma kasi ya maendeleo katika maeneo...

 

11 years ago

Mwananchi

Uhaba wa fedha waathiri wagonjwa Zanzibar

Wagonjwa wa akili katika Hospitali ya Kidongochekundu, wamekuwa wakipewa mlo mmoja kwa siku katika kipindi cha mwaka mmoja na wakati mwingine kulala giza kutokana na Wizara ya Afya Zanzibar kushindwa kutoa fedha za matumizi kwa muda mwafaka, imefahamika visiwani humu jana.

 

9 years ago

Habarileo

Ukosefu wa fedha waathiri Hospitali ya Mkoa Dodoma

HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma inakabiliwa na changamoto kubwa ya kifedha, hali iliyosababisha kushindwa kukamilika kwa ujenzi wa baadhi ya miundombinu hospitalini hapo yakiwemo majengo.

 

9 years ago

Habarileo

CCM yaongoza halmashauri 3 Rukwa

MADIWANI wa Halmashauri tatu kati ya nne mkoani Rukwa wamefanya uchaguzi wa kuchagua wenyeviti na makamu wenyeviti ambapo CCM imeibuka kidedea kwa kushinda nafasi hizo kwa kishindo.

 

10 years ago

Habarileo

Fedha za shule kutopelekwa halmashauri

SERIKALI sasa inatarajia kuanza utaratibu mpya wa kupeleka fedha za ruzuku katika shule za msingi na sekondari nchini moja kwa moja kwenye akaunti ya shule badala ya kupitia katika halmashauri. Hayo yamebainishwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.

 

11 years ago

Habarileo

Takukuru yapewa rungu fedha za halmashauri

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala imetaka Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuanzisha dawati maalumu katika Wizara ya Fedha, kufuatilia kwa karibu fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika halmashauri mbalimbali nchini.

 

5 years ago

Michuzi

Waalimu wastaafu Mkoani Rukwa wadhulumiwa zaidi ya Shilingi milioni 96 fedha za SACCOS

Baadhi ya Fedha zilizopatikana kutokana na kazi ya TAKUKURU Mkoa wa Rukwa na Kurudishwa kwa wahanga.
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Waalimu Nkasi Teachers SACCOS Gideon Ngorogoro kiasi cha Shilingi 39,756,250 kwaajili ya kuzirudisha kwa waalimu wastaafu wa chama hicho.

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akimkabidhi Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Waalimu cha Akiba na Mikopo (CHAUWAMI) SACCOS Justin Mwanasimeta Shilingi 56,700,000/=...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani