Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ucheleweshaji fedha kikwazo afya bure

CHANGAMOTO zinazojitokeza kwenye mpango wa serikali wa kutoa huduma za afya bure katika makundi maalumu zinachangiwa na serikali kushindwa kufikisha fedha za mpango huo kwa wakati. Hayo yalibainishwa jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yalalamikia ucheleweshaji wa fedha za miradi


NA THEODOS MGOMBA, KONDOA
SERIKALI imeshauriwa kutoa fedha kwa wakati kwenda katika halmashauri baada ya bajeti yake kumalizika.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, alisema hayo juzi alipokuwa akizungumza na wakazi wa kijiji cha Gwandi kilichoko wilayani Chemba mkoani Dodoma.
Kinana alisema kumekuwepo na ucheleweshaji wa miradi mbalimbali ya serikali kutokana na fedha kutofika kwa wakati katika halmashauri nyingi.
Alisema hali hiyo imekuwa ikirudisha nyuma kasi ya maendeleo katika maeneo...

 

10 years ago

Habarileo

Ucheleweshaji wa fedha waathiri halmashauri Rukwa

KILIO cha ucheleweshaji au utoaji pungufu wa fedha za bajeti kutoka serikali kuu kimeendelea kutawala halmashauri zote katika Mkoa wa Rukwa, ambazo watendaji wake wameomba juhudi zifanyike kunusuru miradi ya maendeleo kukwama.

 

9 years ago

StarTV

Mfuko Bima ya afya wakanusha tuhuma za  Ucheleweshaji Malipo Vituoni

Mfuko wa Taifa wa Bima ya afya NHIF umekanusha tuhuma zinazoelekezwa kwake za kuchelewesha kulipa madai kwenye vituo vinavyotumia huduma zake hatua inayochangia kudhorotesha utoaji huduma kwa watumiaji wa bima.

Mfuko huo umesema madai hayo hayana ukweli wowote, kwa kuwa imekuwa ikilipa madai yote yanayowasilishwa makao makuu kwa wakati ambao mara nyingine huwa ni siku chache zaidi ya muda unaotakiwa kisheria kulipa.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF Michael Mhando, anakutana na waandishi wa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Fedha kikwazo ujenzi nyumba za askari’

Mbunge wa Kasulu mjini, Moses MachaliWAFUNGWA wamekuwa wakitumika kama nguvu kazi katika ujenzi wa nyumba za askari Magereza na Polisi nchini, lakini tatizo limekuwa ni rasilimali fedha, Bunge la Jamhuri linaloketi mjini Dodoma limeambiwa.

“Wazo la kutumia wafungwa si jipya na kwa kweli wafungwa wamekuwa wakitumika (katika ujenzi wa nyumba za askari) lakini pia pesa zinatakiwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi,” alisema Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima.

Naibu Waziri huyo alikuwa akijibu swali la...

 

10 years ago

Mwananchi

11 years ago

Michuzi

Maangalizi ya afya Washington DMV...bure

Wataalam wa afya DMV (HCP Metro DC) wanatuleta huduma ya afya kwa wale wasiokuwa na bima ya afya. Huduma hii itatolewa kwa usawa bila kujali dini,rangi,umri,uraia au uchumi.

Kama una rafiki, ndugu au  mzazi asiyekuwa na bima ya afya tunaomba mshiriki ili tuwe na jamii inayoshamiri na yenye afya njema. Zoezi hili litachukuwa hatua ya kuwaona wale watakaokuwa na hali pungufu ya afya njema mara moja kwa mwezi.

Tarehe: 04/12/2014   (Jumamosi) Saa 3:00 asubuhi hadi mchana 7:00 (waweza kuja...

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti: Wazee hawapati huduma za afya bure

Mwandishi wa vitabu, Pearl Buck aliwahi kuandika “jamii lazima ihakikishe inatengeneza mazingira mazuri kwa wazee ili kila anayefikia hatua hiyo ya maisha asijione tofauti na watu wa rika jingine, kwa sababu ni hatua ambayo kila mwanadamu ataifikia iwapo hatafariki dunia mapema”.

 

9 years ago

Dewji Blog

Fedha za sherehe zilizofutwa kutumika kutekeleza sera ya Elimu bure

1

Kamishna wa Bajeti kutoka Wizara Fedha Bw. John Cheyo akitoa ufafanuzi  kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu taarifa za upotoshaji zilizoripotiwa na vyombo vya habari hapa nchini kuwa hazina yakauka, taarifa hizo ni za upotoshaji kwani mfumo wa Serikali wa bajeti unaiwezesha Serikali kupanga vipaumbele vya matumizi kulingana na  bajeti ilivyopangwa ambapo fedha zinazokusanywa kupitia mfuko mkuu wa Serikali ndizo hutumika. Kushoto ni Kamishna msaidizi wa Bajeti Bw....

 

10 years ago

Dewji Blog

NSSF yatoa huduma za afya bure Maonesho ya Sabasaba

Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.

Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.

IMG_01411-988x1024

 

Dk. Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF.

Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.

Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani