‘Fedha kikwazo ujenzi nyumba za askari’
WAFUNGWA wamekuwa wakitumika kama nguvu kazi katika ujenzi wa nyumba za askari Magereza na Polisi nchini, lakini tatizo limekuwa ni rasilimali fedha, Bunge la Jamhuri linaloketi mjini Dodoma limeambiwa.
“Wazo la kutumia wafungwa si jipya na kwa kweli wafungwa wamekuwa wakitumika (katika ujenzi wa nyumba za askari) lakini pia pesa zinatakiwa kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya ujenzi,” alisema Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Silima.
Naibu Waziri huyo alikuwa akijibu swali la...
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi28 Mar
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Ucheleweshaji fedha kikwazo afya bure
CHANGAMOTO zinazojitokeza kwenye mpango wa serikali wa kutoa huduma za afya bure katika makundi maalumu zinachangiwa na serikali kushindwa kufikisha fedha za mpango huo kwa wakati. Hayo yalibainishwa jijini Dar...
10 years ago
MichuziTWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR
10 years ago
Mwananchi17 Feb
10 years ago
VijimamboTWIGA CEMENT YAMWAGA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA JESHI LA MAGEREZA KATIKA MRADI WA UJENZI WA MAKAZI YA ASKARI GEREZA WAZO JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J1KuMNZ4gd8/U5dwf2_IUWI/AAAAAAAFpo0/wfMo_dYntrM/s72-c/unnamed+(57).jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
TPSF: Urasimu utoaji vibali vya ujenzi kikwazo cha maendeleo
TAASISI ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), imesema Tanzania haiwezi kuendelea kukwamishwa na urasimu wa utoaji wa vibali vya ujenzi ambavyo vinarudisha nyuma juhudi za kujenga mazingira bora ya kufanya biashara...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Nyumba ya DC, askari zateketea kwa moto
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia