Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyumba ya DC, askari zateketea kwa moto

Makazi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, Abdallah Uleja yameteketea kwa moto unaodhaniwa kusababishwa na hitilafu ya umeme.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Nyumba yaungua, Sh10 milioni zateketea

Nyumba iliyopo Mtaa wa Chama cha Biblia, Kitunda Relini, Wilaya ya Ilala, imeteketea kwa moto sambamba na kuunguza fedha taslimu Sh10 milioni zililokuwamo ndani.

 

10 years ago

Vijimambo

MAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA

Mabaki ya nyumba yaliyoteketezwa kwa moto na wafugaji wa kimasaii wakidai eneo la malisho yao.(picha: Elias Kija, Siha, Kilimanjaro)Jeshi la Polisi likiwa limeimarisha ulinzi katika kijiji cha Miti-Mirefu wilayani Siha. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akiliangalia mojawapo la gari la mwekezaji lililochomwa moto katika eneo la Ndarakwai. Mwekezaji wa eneo la Ndarakwai wilayani Siha mkoani Kilimanjaro Peter Jones akizungumza na wanahabari katika eneo la tukio.Kwa picha na maelezo...

 

9 years ago

Bongo5

Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto

Nyumba ya muigizaji wa filamu, Batuli imetekea kwa moto. Nyumba hiyo ipo maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. “Nilikuwa saluni najiandaa ili niende kwenye fainali za TMT ndipo nilipopigiwa simu na majirani majira ya saa tatu usiku kuwa nyumba yangu inaungua na imeteketea yote kwa moto,” Batuli aliiambia Clouds FM. “Iliniuma sana vitu […]

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR

Nyumba moja iliyopo eneo la Kijitonyama Mpakani 'A' jirani na Kituo cha Polisi Kijitonyama 'Mabatini' jijini Dar imeteketea kwa moto Septemba 14, 2014. Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni kulipuka kwa mtungi wa gesi.

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR

Nyumba iliyoteketea kwa moto. Mashuhuda wa tukio wakitazama nyumba iliyoungua.…

 

11 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA

Wakazi wa eneo la Makunguru jijini Mbeya wakiwa wamesimama nje nyumba iliopo kwenye eneo hilo ambayo imepatwa na dhahma ya kuungua moto na kuteketea kwa mali zote zilizokuwemo ndani ya nyumba hiyo, kutokana na kinachosadikiwa kuwa ni hitilafu ya umeme. Bado haijadhibitika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliedhurika kwenye tukio hilo lililotokea mchana wa jana jijini humo.…
...

 

10 years ago

Michuzi

UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma

2015-06-26 15.13.03Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa...

 

11 years ago

Michuzi

NYUMBA ZA JESHI LA POLISI ZA ZIKITEKETEA KWA MOTO TANGA



Nyumba za Askari wa jeshi la polisi zilizopo eneo la Chumbageni nyuma ya kituo cha polisi kikuu cha Chumbageni jijini Tanga zikiungua moto. Hahdi sasa chanzo cha moto huo pamoja na athari zake havijajulikana

Askari wa kikosi cha Zimamoto wakiwa kazini Mkuu wa wilaya ya Tanga Mh.Halima Dendegu akiwasili katika eneo la tukio Mh.Halima Dendegu akishuhudia ajali ya moto huo katika nyumba za polisi Chumbageni,jijini Tanga hapo jana  Wananchi wakishuhudia na kusaidia vikosi vya...

 

9 years ago

Mtanzania

Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja

Pg 2NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.

Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.

Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani