Nyumba ya DC, askari zateketea kwa moto
Makazi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, Abdallah Uleja yameteketea kwa moto unaodhaniwa kusababishwa na hitilafu ya umeme.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Sep
Nyumba yaungua, Sh10 milioni zateketea
10 years ago
VijimamboMAGARI TISA YATEKETEZWA KWA MOTO, NYUMBA 16 ZATIWA MOTO MGOGORO WA ENEO LA MALISHO SIHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sDCRRixujJY/VGhk9zmlUXI/AAAAAAAAvsY/9rDoqXLpllo/s640/jones_1.jpg)
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
10 years ago
GPL15 Sep
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA
10 years ago
Michuzi01 Jul
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma
![2015-06-26 15.13.03](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2015-06-26-15.13.03.jpg)
Na Mwandishi WetuTaasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa...
11 years ago
Michuzi![](https://lh6.googleusercontent.com/-vIcKhgfcYbo/UyUIzh5yuqI/AAAAAAAAJc8/-HJ2Y4X02bs/s72-c/blogger-image--1766798212.jpg)
NYUMBA ZA JESHI LA POLISI ZA ZIKITEKETEA KWA MOTO TANGA
![](https://lh6.googleusercontent.com/-vIcKhgfcYbo/UyUIzh5yuqI/AAAAAAAAJc8/-HJ2Y4X02bs/s640/blogger-image--1766798212.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-lmNgj5or1DQ/UyUIwphDjZI/AAAAAAAAJc0/Plk9ThMn53A/s640/blogger-image-1106310305.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-ZS1UN_jQAyc/UyUDIY0HJGI/AAAAAAAAJcM/Blie88Etnfw/s640/blogger-image--686338848.jpg)
![](https://lh3.googleusercontent.com/-l4y5xmQvOBQ/UyUHl_6m03I/AAAAAAAAJcY/LOeA-B_zpMM/s640/blogger-image-330844102.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-gnvylkS1K-0/UyUHsBailnI/AAAAAAAAJco/z5YZ-GFrULw/s640/blogger-image--1687905404.jpg)
![](https://lh5.googleusercontent.com/-MmGJ3RWjDIc/UyUDC0aIDII/AAAAAAAAJb8/929ukxRXKDM/s640/blogger-image--21354550.jpg)
![](https://lh6.googleusercontent.com/-y-IisNc0iGc/UyUHpd7nFfI/AAAAAAAAJcg/P4Am-eO2guU/s640/blogger-image-1038081162.jpg)
![](https://lh4.googleusercontent.com/-9xej59wTGh8/UyUDAHSiGxI/AAAAAAAAJb0/t-Q67d_gF5w/s640/blogger-image-330100861.jpg)
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...