Ukosefu wa dawa kuathiri afya Tanzania
Sekta ya afya ya umma nchini Tanzania iko katika hatari ya kukosa dawa muhimu kutokana na bohari kusitisha usambazaji
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Dec
Ukosefu wa dawa waathiri uzazi wa mpango
UKOSEFU wa dawa na uchache wa watoa huduma katika suala la uzazi wa mpango inaelezwa kuwa ni sababu kubwa ya Watanzania wengi hasa wa vijijini kushindwa kutumia njia za uzazi wa mpango.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Ukosefu wa viwanda vya dawa changamoto kwa MSD
BOHARI ya Dawa (MSD) ni taasisi ya serikali yenye majukumu ya kununua, kuhifadhi, kusambaza dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara. MSD haiongezi faida katika bei za dawa na usambazaji...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wananchi tupaze sauti kukemea ukosefu wa dawa hospitalini
HIVI karibuni iliripotiwa kuwa hospitali za umma zinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba, hali inayowaathiri zaidi wananchi wa kipato cha chini. Kuathirika huko kwa wananchi kunatokana na ukweli kwamba...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ukosefu wa ajira unahatarisha afya za Watanzania
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y-J2daFOM0I/VaTCyIadguI/AAAAAAAHpjc/vWq6yc3MGGQ/s72-c/unnamed.jpg)
DAWA YA JIKO KUPONYESHA KABISA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
![](http://4.bp.blogspot.com/-y-J2daFOM0I/VaTCyIadguI/AAAAAAAHpjc/vWq6yc3MGGQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avp4XYY6o6BHm9K9Nt*Qn5lz007QyngzPkLYyJ*NRGD99DeF9Tpmsoell3sJrxineu05DJwVlAAkvXRv3c221i6n/Mwanzakiwia1.jpg?width=650)
UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s72-c/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini (Tanzania) yafuta usajili wa dawa aina Tano za binadamu - Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-aGjFf09I1M4/VMK1F2VwtYI/AAAAAAAABNU/dSGC9e87jKI/s1600/TFDA.jpg)
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imefuta usajili wa dawa za binadamu aina Tano na kuamuru ziondolewe sokoni na vituo vyote vya kutolea huduma za afya mchini kote mara moja kutokana na kubainika kuwa na viambata vinavyosababisha maradhi sugu ikiwemo kiharusi, na wakati mwingine kusababisha vifo.
Dawa zinazotajwa kufutiwa usajiri na kuzuia uingizwaji kuwa ni pamoja na dawa za kutibu maralia ya maji na vidonge aina ya...
11 years ago
Bongo512 Aug
Siku ya Vijana Duniani: ‘Vijana na Afya ya Akili’, Tusipokabiliana na ukosefu wa ajira na kupewa nguvu ya maamuzi, hatutaweza
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...