Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watakiona

Print*Dk. Magufuli: Siku zao zinahesabika

*Lowassa asema akiingia Ikulu hataki mchezo

 

Bakari Kimwanga, Kigoma na Maregesi Paul, Bariadi

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema iwapo atachaguliwa kuwa rais, atahakikisha anakomesha vitendo mbalimbali vya kihalifu nchini ukiwamo ujambazi.

Mgombea huyo pia ametoa onyo kwa watu wasioitakia mema Tanzania wanaoingiza nchini silaha haramu na kusema kuwa siku zao zinahesabika.

Wakati Dk. Magufuli akitoa onyo hilo,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis amebuni kamati ya Vatican itakayopambana na visa vya unajisi wa watoto katika kanisa katoliki

 

10 years ago

BBCSwahili

Netanyahu: walioua wanajeshi watakiona

Waziri Mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu amesema wote waliohusika na mashambulizi dhidi ya msafara wa majeshi ya Israel watalipa gharama ya waliyoyafanya.

 

10 years ago

Mwananchi

Shein: Watakaoivuruga Zanzibar watakiona

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amewataka wanasiasa Visiwani kuacha kutumia Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kama ngao ya kuvuruga amani kinyume na madhumuni ya kuanzishwa kwake mwaka 2010.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto

Sumbawanga. Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli ameendelea kumwaga ahadi mikoa ya Katavi na Rukwa na kuahidi kuwa iwapo atachaguliwa kuwa rais wahudumu wanaoiba dawa katika hospitali nchini watakiona cha moto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani