Watakiona
*Dk. Magufuli: Siku zao zinahesabika
*Lowassa asema akiingia Ikulu hataki mchezo
Bakari Kimwanga, Kigoma na Maregesi Paul, Bariadi
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema iwapo atachaguliwa kuwa rais, atahakikisha anakomesha vitendo mbalimbali vya kihalifu nchini ukiwamo ujambazi.
Mgombea huyo pia ametoa onyo kwa watu wasioitakia mema Tanzania wanaoingiza nchini silaha haramu na kusema kuwa siku zao zinahesabika.
Wakati Dk. Magufuli akitoa onyo hilo,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 Dec
Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Netanyahu: walioua wanajeshi watakiona
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Shein: Watakaoivuruga Zanzibar watakiona
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto