Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis amebuni kamati ya Vatican itakayopambana na visa vya unajisi wa watoto katika kanisa katoliki
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Watakiona
*Dk. Magufuli: Siku zao zinahesabika
*Lowassa asema akiingia Ikulu hataki mchezo
Bakari Kimwanga, Kigoma na Maregesi Paul, Bariadi
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema iwapo atachaguliwa kuwa rais, atahakikisha anakomesha vitendo mbalimbali vya kihalifu nchini ukiwamo ujambazi.
Mgombea huyo pia ametoa onyo kwa watu wasioitakia mema Tanzania wanaoingiza nchini silaha haramu na kusema kuwa siku zao zinahesabika.
Wakati Dk. Magufuli akitoa onyo hilo,...
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Shein: Watakaoivuruga Zanzibar watakiona
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Netanyahu: walioua wanajeshi watakiona
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Magufuli: Wanaoiba dawa hospitalini watakiona cha moto
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Makasisi wanaounga mkono ushoga
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wanawake acheni kuzengea makasisi
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewataka akina mama kuacha kuwazengea makasisi, hatua inayoweza kuwafanya kukacha kiapo chao cha useja.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Papa akumbusha makasisi waliodhalilisha