Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanawake acheni kuzengea makasisi

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewataka akina mama kuacha kuwazengea makasisi, hatua inayoweza kuwafanya kukacha kiapo chao cha useja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wanawake acheni kuikumbatia CCM’

MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), Mkoa wa Mwanza, Pendo Ojijo, amewataka wanawake nchini kuachana na dhana ya kukikumbatia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika masuala mbalimbali kwani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAWACHA: UWT acheni kuwapumbaza wanawake

BARAZA la Wanawake wa CHADEMA, (BAWACHA), limejipanga kuhakikishawanawake nchini wanaamka kudai haki zao huku likiuonya Umoja waWanawake wa CCM, (UWT), kuacha kuwapumbaza kwa kuwaimbisha nyimbo zisizo na tija huku ukishindwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.

Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewaombea radhi makasisi wa kanisa hilo waliowalawiti watoto na kutishia kuwawekea vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa akumbusha makasisi waliodhalilisha

Papa Francis amehutubia maaaskofu huko nchini Marekani katika siku ya pili ya ziara yake na kuwasifu kwa jinsi walivyokabiliana na kashfa ya udhalilishaji wa kimapenzi inayowakabili makasisi takriban miaka kumi iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi wanaounga mkono ushoga

Askofu na kadinali wa Chile ,Ricardo Ezzati, alituma ujumbe wa siri akilalamikia Vatican kuwahusu makasisi hao wanaotetea ushoga

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis amebuni kamati ya Vatican itakayopambana na visa vya unajisi wa watoto katika kanisa katoliki

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa Benedict aliwatimua makasisi 400

Takwimu zimejitokeza kuhusu idadi ya makasisi waliotimuliwa na Papa wa zamani Benedict kufuatia madai ya kuwalawiti watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani