Papa akumbusha makasisi waliodhalilisha
Papa Francis amehutubia maaaskofu huko nchini Marekani katika siku ya pili ya ziara yake na kuwasifu kwa jinsi walivyokabiliana na kashfa ya udhalilishaji wa kimapenzi inayowakabili makasisi takriban miaka kumi iliyopita.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Papa Benedict aliwatimua makasisi 400
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
Mwananchi20 Jan
RC Tanga akumbusha uhifadhi chakula
10 years ago
Habarileo30 Nov
Shein akumbusha viongozi kuchunga kauli zao
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Dk Ali Mohamed Shein amesema Serikali ya Umoja wa Kitaifa inaongozwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria na si kwa matakwa binafsi ya baadhi ya wanasiasa.
11 years ago
Habarileo30 Dec
Dk Shein akumbusha usiri kwa mpigachapa wa serikali
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein ametaka watumishi wa Idara ya Upigajichapa na Mpigachapa Mkuu wa Serikali kuzingatia usiri katika utendaji wao.
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mangula akumbusha Nyerere alivyokataa Serikali tatu
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuimwagia sifa Katiba Inayopendekezwa, huku akisema 'Sijui angekuwa na kauli gani kama ingependekeza Serikali Tatu’, Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula amesema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipinga mfumo wa Serikali Tatu tangu nchi ipate Uhuru mwaka 1961.
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wanawake acheni kuzengea makasisi
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewataka akina mama kuacha kuwazengea makasisi, hatua inayoweza kuwafanya kukacha kiapo chao cha useja.
11 years ago
BBCSwahili05 Dec
Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona