Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa Benedict aliwatimua makasisi 400

Takwimu zimejitokeza kuhusu idadi ya makasisi waliotimuliwa na Papa wa zamani Benedict kufuatia madai ya kuwalawiti watoto.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Papa akumbusha makasisi waliodhalilisha

Papa Francis amehutubia maaaskofu huko nchini Marekani katika siku ya pili ya ziara yake na kuwasifu kwa jinsi walivyokabiliana na kashfa ya udhalilishaji wa kimapenzi inayowakabili makasisi takriban miaka kumi iliyopita.

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis amebuni kamati ya Vatican itakayopambana na visa vya unajisi wa watoto katika kanisa katoliki

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewaombea radhi makasisi wa kanisa hilo waliowalawiti watoto na kutishia kuwawekea vikwazo

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake acheni kuzengea makasisi

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewataka akina mama kuacha kuwazengea makasisi, hatua inayoweza kuwafanya kukacha kiapo chao cha useja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makasisi wanaounga mkono ushoga

Askofu na kadinali wa Chile ,Ricardo Ezzati, alituma ujumbe wa siri akilalamikia Vatican kuwahusu makasisi hao wanaotetea ushoga

 

11 years ago

BBCSwahili

Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.

Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Makasisi wapewa kichapo cha Mbwa Guinea

Makasisi watatu wa kanisa la Baptist nchini Guinea wamechapwa na kisha kiuetkwa nyara baada ya wenyeji kudhania kwamba walikuwa maafisa wanaohamasisha jamii dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani