Papa Benedict aliwatimua makasisi 400
Takwimu zimejitokeza kuhusu idadi ya makasisi waliotimuliwa na Papa wa zamani Benedict kufuatia madai ya kuwalawiti watoto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Papa akumbusha makasisi waliodhalilisha
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
11 years ago
BBCSwahili05 Dec
Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wanawake acheni kuzengea makasisi
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewataka akina mama kuacha kuwazengea makasisi, hatua inayoweza kuwafanya kukacha kiapo chao cha useja.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Makasisi wanaounga mkono ushoga
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Makasisi wapewa kichapo cha Mbwa Guinea
11 years ago
GPLPAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU