Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makasisi wapewa kichapo cha Mbwa Guinea

Makasisi watatu wa kanisa la Baptist nchini Guinea wamechapwa na kisha kiuetkwa nyara baada ya wenyeji kudhania kwamba walikuwa maafisa wanaohamasisha jamii dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Magolikipa wawapa kichapo cha Mbwa mwizi Waandishi!

TIMU ya magolikipa inayoongozwa na mlinda mlango  Ivo Mapunda wa Simba, Shaaban Kado wa Coastal Union na Salehe Malande wa Ndanda juzi waliiongoza timu yao ya Chama Cha Magolikipa Tanzania (TAGA FC) kuiadhibu ile ya waandishi wa Habari za Michezo nchini (Taswa FC) magoli 3-0 kwenye mchezo maalum wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa Bora, Kijitonyama jijini Dar es salaam.
Awali mchezo huo ulipangwa kufanyika kwenye uwanja wa Karume kabla ya kuahamishiwa uwanja wa bora kutokana na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mbwa wapewa mafunzo maalum Rwanda

Kundi la vijana nchini Rwanda limeanzisha mradi wa kutunza mbwa kwa minajili ya masuala tofauti ya kusaidia na kuimarisha maisha

 

9 years ago

GPL

TYGA, KYLIE WAPEWA ZAWADI YA MBWA WA DOLA 50,000

Staa wa muziki wa kufoka Tyga akiwa na mpenzi wake Kylie Jenner. New York, Marekani
UHUSIANO ya staa wa muziki wa kufoka Tyga, 25, na Kylie Jenner, 18, umezidi kukolea baada ya wapendanao hao kuongezewa rafiki mwingine ambaye ni mbwa waliyepewa kama zawadi na Jeremy Greene, ambaye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya PingTank, ambayo inajihusisha na mitandao ya kijamii. Wawili hao wamempa mbwa huyo jina la Rolly, wamekuwa wakizunguka...

 

9 years ago

StarTV

Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0

Siphiwe Tshabalala alipigia msumari wa moto jeneza la Free State jana

TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,Man United italipiza kichapo cha 5-3?

Timu hizo mbili zilipokutana mwezi Septemba mwaka jana manchester united licharazwa maba 5-3 katika uwanja wa Leicester.

 

11 years ago

GPL

DEREVA BODABODA ACHEZEA KICHAPO CHA TRAFIKI

Dereva bodaboda (hakutambulika jina lake) baada ya kupokea kichapo cha askari wa usalama barabarani (nae hakutambulika jina)eneo la Vingunguti
........akionesha uso wa hudhuni baada ya kichapo. Askari wa usalama barabaranui (hayupo pichani) anadaiwa kumjeruhi dereva bodaboda eneo la vingunguti jijini dar. Chanzo chetu cha habari kimeeleza kuwa, tukio hilo limetokea leo majira ya mchana wakati dereva huyo alipokutana na...

 

11 years ago

Habarileo

Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa

JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa

Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani