Makasisi wanaounga mkono ushoga
Askofu na kadinali wa Chile ,Ricardo Ezzati, alituma ujumbe wa siri akilalamikia Vatican kuwahusu makasisi hao wanaotetea ushoga
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s72-c/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
Dkt. Mwakyembe Apongeza Wazalendo Wanaounga Mkono Juhudi za Rais Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-4XguEWBKI_Y/XuUDN9fHJZI/AAAAAAALtr4/lTjcRDvYJD8P5nxOlq0cHRZWpyc8fd8jwCLcBGAsYHQ/s640/50bceffc-7996-47e6-b73a-f2adf8d6115f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8cf9ac02-75c0-49f3-8f9f-014f7118e2ab.jpg)
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na Bw. Mussa Issa (kushoto) meneja wa Mtoto Romeo Asubisye (mwenye suti ya kijani) aliyekuja kumtambulisha mtoto huyo baada ya kutwaa medali takriban 09,katika mashindano mbalimbali ya kuogelea ikwemo Cana Zone Three Africa yaliyofanyika mwaka 2019 nchini Kenya
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/610ad902-76de-4171-a950-c9ed91e9017b.jpg)
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Ukraine;wanaounga Urusi wavamia miji
Waukraine wanaounga mkono Urusi wamevamia afisi za serikali katika miji ya Donetsk na Luhansk
11 years ago
BBCSwahili05 Dec
Makasisi watakaowanajisi watoto watakiona
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani, Papa Francis amebuni kamati ya Vatican itakayopambana na visa vya unajisi wa watoto katika kanisa katoliki
11 years ago
BBCSwahili01 Jun
Makasisi waliotekwa nyara waachiliwa.
Makasisi wawili kutoka nchini Italy pamoja na mwanamke mmoja raia wa Canada waliotekwanyara na kundi la Boko Haram wameachiliwa
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Makasisi kuwekewa vikwazo. Kunani?
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, amewaombea radhi makasisi wa kanisa hilo waliowalawiti watoto na kutishia kuwawekea vikwazo
10 years ago
Habarileo29 Dec
Wanawake acheni kuzengea makasisi
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Mhashamu Yuda Thadeus Ruwa’ichi amewataka akina mama kuacha kuwazengea makasisi, hatua inayoweza kuwafanya kukacha kiapo chao cha useja.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Papa akumbusha makasisi waliodhalilisha
Papa Francis amehutubia maaaskofu huko nchini Marekani katika siku ya pili ya ziara yake na kuwasifu kwa jinsi walivyokabiliana na kashfa ya udhalilishaji wa kimapenzi inayowakabili makasisi takriban miaka kumi iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili18 Jan
Papa Benedict aliwatimua makasisi 400
Takwimu zimejitokeza kuhusu idadi ya makasisi waliotimuliwa na Papa wa zamani Benedict kufuatia madai ya kuwalawiti watoto.
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Makasisi wapewa kichapo cha Mbwa Guinea
Makasisi watatu wa kanisa la Baptist nchini Guinea wamechapwa na kisha kiuetkwa nyara baada ya wenyeji kudhania kwamba walikuwa maafisa wanaohamasisha jamii dhidi ya ugonjwa hatari wa Ebola.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania