Mangula akumbusha Nyerere alivyokataa Serikali tatu
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuimwagia sifa Katiba Inayopendekezwa, huku akisema 'Sijui angekuwa na kauli gani kama ingependekeza Serikali Tatu’, Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula amesema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipinga mfumo wa Serikali Tatu tangu nchi ipate Uhuru mwaka 1961.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Nyerere alitaka Serikali tatu
11 years ago
Mwananchi08 Jan
Warioba: Hata Nyerere angebadili mawazo kuhusu Serikali tatu
11 years ago
Habarileo30 Dec
Dk Shein akumbusha usiri kwa mpigachapa wa serikali
RAIS wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein ametaka watumishi wa Idara ya Upigajichapa na Mpigachapa Mkuu wa Serikali kuzingatia usiri katika utendaji wao.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za uhai wake alikuwa Kapteni wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa rubani wa kurusha ndege za kivita.Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s72-c/1.jpg)
MZEE MANGULA NA NAPE WAHANI MSIBA WA JOHN NYERERE
![](http://2.bp.blogspot.com/-ooyqMiWhI8Y/VU9dNjQFTPI/AAAAAAAAbh0/RsBTxomdHeY/s640/1.jpg)
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu amefariki baada ya kusumbuliwa na maradhi ya mapafu na kisukari kwa muda mrefu.Enzi za uhai wake John alishiriki vita ya kumng'oa...
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Mangula, Nape waongoza kongamano la maadhimisho ya kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ya vijana wa CCM vyuo vikuu leo
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula akihutubia Jumuia ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu katika Kongamano la Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, lililoandaliwa na Vijana wa CCM wa Vyuo Vikuu, kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, leo, Oktoba 19, 2014.
Katibu wa NEC, Irikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimpongeza Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Mzee Mangula baada ya kuhutubia katika kongamano hilo. Kulia ni Katibu Mtendaji Mkuu wa CCM mkoa wa Vyuo Vikuu, Christopher...
10 years ago
Michuzi20 Oct
MANGULA, NAPE WAONGOZA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE YA VIJANA WA CCM VYUO VIKUU , LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-fw97RaT9AFw/VEPEYspA6JI/AAAAAAAArcU/BXTIr8SaAFo/s1600/1.%2BMangula%2B2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-vDZ5KjwAfMY/VEO-KNkhgGI/AAAAAAAArbU/FVgQhcIv7oU/s1600/2.%2BNape.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu
SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...
9 years ago
Mtanzania02 Dec
UVCCM yaeleza Dk. Shein alivyokataa kuburuzwa
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema wapambe na vigogo waliompigia debe na kumnadi Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania urais mwaka 2010, hivi sasa wamemgeuka na hata baadhi yao kumuona kikwazo.
Kwa mujibu wa Umoja huo, vigogo hao sasa wamemgeuka na baadhi yao wanamuona kikwazo kwa msimamo wake wa mapinduzi na kuonekana mtu asiyeyumbishwa kwa kukataa vitisho.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Unguja jana na Kaimu Katibu Mkuu wa...