UVCCM yaeleza Dk. Shein alivyokataa kuburuzwa
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema wapambe na vigogo waliompigia debe na kumnadi Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania urais mwaka 2010, hivi sasa wamemgeuka na hata baadhi yao kumuona kikwazo.
Kwa mujibu wa Umoja huo, vigogo hao sasa wamemgeuka na baadhi yao wanamuona kikwazo kwa msimamo wake wa mapinduzi na kuonekana mtu asiyeyumbishwa kwa kukataa vitisho.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Unguja jana na Kaimu Katibu Mkuu wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
UVCCM yasifu utendaji wa Dk. Shein
JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), imepongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kufikia malengo ya milenia. Pongezi hizo, zilitolewa na Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s72-c/IMG_0105.jpg)
DKT. SHEIN AYAPOKEA MATEMBEZI YA VIJANA WA UVCCM,ZANZIBAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-UlqRnAV55VQ/VLIyg6wFndI/AAAAAAAG8rA/9MT_xwUWZsI/s1600/IMG_0105.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s6n4qzxaz1c/VLIygb3YiyI/AAAAAAAG8q8/RptoDvHvwPM/s1600/IMG_0090.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Rsyf-m0YKLD5LSADUk4HB2RBshYm-I2IyqU09Yjj79AtRpmh8xowo7cgfE-3gFAcg9lJ8WafUf4-JF8*e3vpIXYHcNrTQn*G/a.jpg?width=650)
DKT. SHEIN APOKEA MATEMBEZI YA VIJANA WA UVCCM HUKO ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Op05Qh2R9EA/VMAJDe3au1I/AAAAAAACyLE/ra-DbxDu7TU/s72-c/5.jpg)
UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DKT.SHEIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Op05Qh2R9EA/VMAJDe3au1I/AAAAAAACyLE/ra-DbxDu7TU/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O5WqITaaS1Q/VMAJfVqqUeI/AAAAAAACyLM/pinim0hcC1o/s1600/2.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mjini...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/137.jpg)
UVCCM ZANZIBAR WAFANYA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO KUUNGA MKONO HOTUBA YA DR.SHEIN
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mangula akumbusha Nyerere alivyokataa Serikali tatu
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuimwagia sifa Katiba Inayopendekezwa, huku akisema 'Sijui angekuwa na kauli gani kama ingependekeza Serikali Tatu’, Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula amesema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipinga mfumo wa Serikali Tatu tangu nchi ipate Uhuru mwaka 1961.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p0ZiZvXgHQgL2bhCx8yS6cn2JJ5uUeJnmSwJB3gqPMz9YGuGN-fPwqNcW4cuAIre7eIj6uhELmtN8TqfZBs2Sa2uacvtMZKd/Timaya.jpg?width=650)
TIMAYA AELEZEA ALIVYOKATAA DILI MPYA MTN
10 years ago
Michuzi21 Aug
BARAZA LA VIJANA UVCCM MKOANI ARUSHA WALAKUTANA KUMJADILI NAIBU KATIBU UVCCM MKOA HUO
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-4-robinson1.jpg?w=300&h=225)
Mwenyekiti UVCCM mkoa wa Arusha Robinson Meitinyiku akitoa taarifa ya ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya taarifa za upotoshaji zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari na baadhi ya viongozi wa UVCCM mkoani hapa. Ambao Mkutano huo ulitanguliwa na Kikao cha Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha waliaofikiana kutoa maamuzi juu ya mgogoro wao na Kaimu Katibu wa UVCCM Mkoa wa Arusha Gerald Mwadalu anayetuhumiwa kufunga ofisi na matumizi mabaya ya fedha za umoja huo.
![???????????????????????????????](http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/ccm-6.jpg?w=300&h=225)
Katibu wa UVCCM wilaya ya...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Serikali kuburuzwa mahakamani
ILIKWISHASEMWA na kufafanuliwa kwa kina; kwamba mkataba wa kitapeli wa miaka 20 kati ya kampuni y
Joseph Mihangwa