TIMAYA AELEZEA ALIVYOKATAA DILI MPYA MTN
![](http://api.ning.com:80/files/p0ZiZvXgHQgL2bhCx8yS6cn2JJ5uUeJnmSwJB3gqPMz9YGuGN-fPwqNcW4cuAIre7eIj6uhELmtN8TqfZBs2Sa2uacvtMZKd/Timaya.jpg?width=650)
Mwanamuziki wa Nigeria, Timaya. MWANAMUZIKI wa Nigeria, Timaya, anayejiita ‘Egberipapa 1 of Bayelsa’, amekataa kuongeza mkataba na kampuni la zana za mawasiliano la MNT nchini humo akiwa balozi wake. Timaya ambaye ni baba wa mtoto moja na ambaye mama mtoto wake anategemea kujifungua mtoto wa pili, amefichua kwa nini hakuendelea na mkataba mpya na MTN kama walivyofanya wasanii wengine kama KCee, Nkem Owoh na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3FIYwLDHFvAMn3Aj-wr0CGhANVfy*FPGOYba2POr9lk8nRebs5WljaT-M7krgRAdc7ZNy-*qF-o3quLRBZ9twe/jokate2.jpg?width=650)
JOKATE AELEZEA BIDHAA YAKE MPYA YA NDALA
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wacheza dili wa ndege ‘mpya’ ATCL hawa hapa
VIGOGO wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), waliofanya dili la kukodisha ndege chakavu aina ya CRJ 200 na kutangaza kwamba wameinunua, wamebainika. Vigogo hao wamebainika katika mwendelezo wa uchunguzi uliofanywa...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
9 years ago
Bongo530 Oct
Rihanna asaini dili nono la shilingi bilioni 54 na Samsung kudhamini album yake mpya
10 years ago
Bongo519 Aug
Exclusive: Q-Chief aelezea kusaini mkataba na kampuni mpya, majaribu, alichojifunza na ujio wake kama msanii aliyebadilika (Video)
9 years ago
Mtanzania02 Dec
UVCCM yaeleza Dk. Shein alivyokataa kuburuzwa
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umesema wapambe na vigogo waliompigia debe na kumnadi Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein kuwania urais mwaka 2010, hivi sasa wamemgeuka na hata baadhi yao kumuona kikwazo.
Kwa mujibu wa Umoja huo, vigogo hao sasa wamemgeuka na baadhi yao wanamuona kikwazo kwa msimamo wake wa mapinduzi na kuonekana mtu asiyeyumbishwa kwa kukataa vitisho.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Unguja jana na Kaimu Katibu Mkuu wa...
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mangula akumbusha Nyerere alivyokataa Serikali tatu
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuimwagia sifa Katiba Inayopendekezwa, huku akisema 'Sijui angekuwa na kauli gani kama ingependekeza Serikali Tatu’, Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa, Philip Mangula amesema Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipinga mfumo wa Serikali Tatu tangu nchi ipate Uhuru mwaka 1961.
9 years ago
Bongo512 Sep
Video: Timaya — Hallelujah
11 years ago
GPL09 Jun