Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wacheza dili wa ndege ‘mpya’ ATCL hawa hapa

VIGOGO wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), waliofanya dili la kukodisha ndege chakavu aina ya CRJ 200 na kutangaza kwamba wameinunua, wamebainika. Vigogo hao wamebainika katika mwendelezo wa uchunguzi uliofanywa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL yapata ndege mpya

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya nchini Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndege ‘mpya’ ATCL majanga

SIKU chache baada ya Shirika la Ndege Air Tanzania (ATCL), kujinadi kwamba limenunua ndege mpya aina ya CRJ 200, imebainika kwamba ndege hiyo ni chakavu na ni mzigo kwa taifa...

 

11 years ago

Mwananchi

ATCL yapata ndege mpya kutoka Canada CRJ-200

>Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL),limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake madhubuti wa kuimarisha huduma zake.

 

10 years ago

Michuzi

ATCL yazindua ndege nyingine mpya aina ya CRJ - 100

Meneja wa Air Tanzania (ATCL) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Bw James Mbago akizungumza na waandishi wakati wa uzinduzi wa ndege mpya ya shirika hilo aina ya CRJ-100 yenye uwezo wa kubeba abiria 50, mara baada ya ndege hiyo kutua ikitokea mkoani Kigoma. Huo ukiwa ni mkakati wa kimaendeleo wa shirika hilo katika kuongeza idadi ya ndege na safari zake.  Abiria wakishuka toka kwenye ndege mpya ya Shirika la Ndege la Taifa, Air Tanzania (ATCL) aina ya CRJ-100 yenye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wacheza shere Katiba mpya

VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba lisitishe shughuli zake, limezidi kushamiri baada ya baadhi ya wajumbe kuanza maandalizi ya kuandika barua kwa Rais Jakaya Kikwete, wakimwomba alisitishe kwa madai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Owenya: ATCL kuwa na ndege moja aibu

MBUNGE wa Viti Maalumu, Lucy Owenya (CHADEMA), amesema ni aibu kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), kuwa na ndege moja wakati ilikuwa na ndege saba na ina rasilimali ambazo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndege ATCL yarejesha imani kwa abiria

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limeweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 wiki chake baada ya kupokea  ndege ya kukodi yenye uwezo wa kubeba abiria 50 aina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani