ATCL yapata ndege mpya kutoka Canada CRJ-200
>Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL),limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake madhubuti wa kuimarisha huduma zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZCuoM7SJtaY/Uz5Jt19m2MI/AAAAAAACeIs/3DHA6YlSAmk/s72-c/Ndege+ya+CRJ-200.jpg)
Ndege ya CRJ-200 yaboresha utendaji wa ATCL, yarejesha imani kwa abiria
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZCuoM7SJtaY/Uz5Jt19m2MI/AAAAAAACeIs/3DHA6YlSAmk/s1600/Ndege+ya+CRJ-200.jpg)
Aidha, shirika hilo limeweza kutoa nauli maalum kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wqIomO2YHqI/VOGpD4dr5RI/AAAAAAACz4I/rZs6FSJ0irk/s72-c/ATC%2BPIX%2B3.jpg)
ATCL yazindua ndege nyingine mpya aina ya CRJ - 100
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqIomO2YHqI/VOGpD4dr5RI/AAAAAAACz4I/rZs6FSJ0irk/s1600/ATC%2BPIX%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4iaP6UW9UQ/VOGpDz3d7ZI/AAAAAAACz4E/KbCMPoX-UW4/s1600/ATC%2BPIX%2B2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
ATCL yapata ndege mpya
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limepata ndege nyingine aina ya CRJ-200 ya nchini Canada yenye uwezo wa kubeba abiria 50, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Ndege ‘mpya’ ATCL majanga
SIKU chache baada ya Shirika la Ndege Air Tanzania (ATCL), kujinadi kwamba limenunua ndege mpya aina ya CRJ 200, imebainika kwamba ndege hiyo ni chakavu na ni mzigo kwa taifa...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wacheza dili wa ndege ‘mpya’ ATCL hawa hapa
VIGOGO wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), waliofanya dili la kukodisha ndege chakavu aina ya CRJ 200 na kutangaza kwamba wameinunua, wamebainika. Vigogo hao wamebainika katika mwendelezo wa uchunguzi uliofanywa...
10 years ago
Vijimambo05 Mar
NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA DELTA YAPATA AJALI UWANJA WA NDEGE LAGUARDIA NEW YORK
10 years ago
Vijimambo26 May
RAIS ABADILISHA WAKUU WA WILAYA 10, DARRY RWEGASIRA AONDOLEWA KARAGWE, KYERWA YAPATA MPYA KUTOKA MKALAMA.
Rais Kikwete amemteua Bw Antony Mavunde kuwa mkuu wa wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, kuanzia leo jumatatu 25 may 2015, huku akifanya uhamisho wa wakuu wa wilaya 10 kwa nia ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa wilaya mbalimbali nchini.
Katika mabadiliko hayo, aliyekuwa mkuu wa wilaya Karagwe Darry Rwegasira, amepelekwa wilaya ya Biharamulo, huku Dc Misenyi Fadhil Nkulu, akipelekwa wilaya ya Mkalama.
Elias Choro John Tarimo, ametolewa Biharamulo kwenda Chunya mkoani Mbeya, huku Deodartus...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Ndege ATCL yarejesha imani kwa abiria
SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limeweka rekodi ya ongezeko la abiria kwa asilimia 57 wiki chake baada ya kupokea ndege ya kukodi yenye uwezo wa kubeba abiria 50 aina...