Mwigulu akerwa na wanaoiba mali za umma na kujiuzulu
NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema wabadhirifu wa mali za umma wakiwemo wakwepa kodi, hawapaswi kujiuzulu nyadhifa zao, bali wafilisiwe mali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/cn7O0hxlU4Y/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 May
VIDEO: Nape akitangaza kujiuzulu kwa Mwigulu Nchemba
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, (Itikadi na Uenezi), Nape Nnauye.
10 years ago
VijimamboMWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.
Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)
Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Mwigulu: Sheria ya Ununuzi wa Umma wizi wa kistaarabu
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Rais Ibrahim Boubacar Keïta: Maelfu ya waandamanaji watoa wito kwa rais wa Mali kujiuzulu
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Mabilioni escrow mali ya umma
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Fedha za Escrow ni mali ya umma
KWA mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Samia: Tutapambana na wabadhirifu wa mali za umma
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Zitto: Fedha za Escrow ni mali ya umma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika akaunti ya ‘Tegeta Escrow’ ni mali ya serikali na hivyo ni mali...