Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Samia: Tutapambana na wabadhirifu wa mali za umma

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea na mapambano dhidi ya vitendo vya ubadhirifu, wizi na ufujaji wa fedha za umma ili kufikia Malengo ya Kimataifa ya Mendeleo Endelevu .     

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mabilioni escrow mali ya umma

Ripoti ya sakata la uchotaji wa Dola za Marekani 200 milioni katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyotua bungeni wiki iliyopita, imeibua mambo mazito baada ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kugundua kuwa fedha zilizochotwa kwenye akaunti hiyo zilikuwa mali ya Tanesco.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za Escrow ni mali ya umma

KWA mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yasema UDA ni ‘mali ya umma’

HADI sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto: Fedha za Escrow ni mali ya umma

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika akaunti ya ‘Tegeta Escrow’ ni mali ya serikali na hivyo ni mali...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanawe rais 'alipora' mali ya umma?

Ufaransa imeanza kumchunguza rasmi mwanawe Rais wa Equatorial Guinea,Teodorin Obiang nchini humo kwa tuhuma za wizi wa pesa.

 

10 years ago

Habarileo

Mwigulu akerwa na wanaoiba mali za umma na kujiuzulu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema wabadhirifu wa mali za umma wakiwemo wakwepa kodi, hawapaswi kujiuzulu nyadhifa zao, bali wafilisiwe mali.

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa wasitumie mali za umma katika kampeni Uchaguzi 2015

Moja kati ya shughuli zinazotarajiwa kufanywa na Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwezi ujao, ni kuifanyia marekebisho Katiba inayotumika sasa ya mwaka 1977.

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA- UREJESHAJI FOMU ZA TAMKO LA MALI NA MADENI

Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, inawataarifu Viongozi wote wa Umma nchini kwamba tarehe ya mwisho ya kurejesha Fomu za kutolea TAMKO LA RASILIMALI NA MADENI ya viongozi kwa Kamishna wa Maadili kwa mwaka huu ni tarehe 31/12/2014. Fomu hizo za kutolea tamko zimeanza kutolewa na zinapatikana katika Ofisi za Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma makao makuu Dar es Salaam na katika ofisi za Kanda za Mashariki Kibaha, Arusha, Dodoma, Tabora, Mwanza, Mbeya na...

 

10 years ago

GPL

MCHUNGAJI MWANSANSU: TUTAPAMBANA NA WANASIASA

Waumini wakisikiliza ibada kwa makini . Watoto wakiwa katika ibada .…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani