Mabilioni escrow mali ya umma
Ripoti ya sakata la uchotaji wa Dola za Marekani 200 milioni katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyotua bungeni wiki iliyopita, imeibua mambo mazito baada ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kugundua kuwa fedha zilizochotwa kwenye akaunti hiyo zilikuwa mali ya Tanesco.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Fedha za Escrow ni mali ya umma
KWA mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Zitto: Fedha za Escrow ni mali ya umma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika akaunti ya ‘Tegeta Escrow’ ni mali ya serikali na hivyo ni mali...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Jun
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma

TWO-MBILI
Courtesy:The Citizen
Fedha za zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL, (Tegeta Escrow account) ni mali ya umma
Zitto Kabwe
Kwa mara nyingine serikali kupitia viongozi na watendaji wake akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), wamedai kwamba kiasi cha Dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika ‘Tegeta Escrow Account’ si mali ya serikali na hivyo si mali ya umma....
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Waziri Prof Muhongo asema fedha za Escrow si mali ya umma, adai bado Serikali inadaiwa
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Mabilioni ya Escrow moto
JITIHADA za mawaziri, watendaji wa serikali na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuzima kashfa ya ukwapuaji wa sh bilioni 200, unaodaiwa kufanywa katika akaunti ya Escrow iliyofunguliwa Benki...
10 years ago
Mwananchi12 Dec
Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni
10 years ago
GPL
MALI ZA VIGOGO ESCROW USIPIME
11 years ago
Habarileo16 May
Serikali yasema UDA ni ‘mali ya umma’
HADI sasa mmiliki halali wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Serikali kupitia Msajili wa Hazina.
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Samia: Tutapambana na wabadhirifu wa mali za umma