Marekani yacharuka escrow;Tanzania yakosa mabilioni ya MCC, ni Dola 450 milioni
Wakati Serikali ya Marekani ikisema haitatoa fedha za Changamoto za Milenia (MCC) hadi utekelezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow wa Sh306 bilioni utakapofanyiwa kazi, Ikulu imesema, Rais Jakaya Kikwete hatatekeleza agizo hilo kwa shinikizo la msaada huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Ugiriki kulipa deni la dola milioni 450
5 years ago
CCM BlogMAREKANI YATOA DOLA MILIONI 3.6 KUPAMBANA NA CORONA TANZANIA
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni jambo...
5 years ago
MichuziSerikali ya Marekani yatoa Dola milioni 3.6 kupambana na Covid-19 Tanzania.
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/4q5rpFEVtGc/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Serikali ya Marekani yazindua mradi wa dola milioni 14.5 wa kulinda mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini Tanzania
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Mark Childress akizungumza katika uzinduzi wa mradi wa PROTECT wa dola za kimarekani Milioni 14.5 wa kulinda mazingira, kukuza uhifadhi na utalii nchini hapa unaolenga kujenga uwezo wa uhifadhi na kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa wanyamapori nchini kote Tanzania,uzinduzi huu ulifanyika jana katika eneo la hifadhi ya wanyamapori linalosimamiwa na jumuiya ya uhifadhi ya wanyamapori {WMA} la Randilen linalopakana na hifadhi ya taifa...
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme
-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa
-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC
Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SGGn_JhfiFU/VgequcgfY7I/AAAAAAAH7XE/bMHBdD41lEw/s72-c/tz.png)
STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC
![](http://3.bp.blogspot.com/-SGGn_JhfiFU/VgequcgfY7I/AAAAAAAH7XE/bMHBdD41lEw/s640/tz.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s72-c/blogger-image--1359849879.jpg)
Dola za Marekani milioni 53.8 zapatikana kutokana na mauzo ya vito
![](http://2.bp.blogspot.com/-wC1_isMF9qg/U-zoF4SlYZI/AAAAAAAF_rc/yM8l0csfkf0/s1600/blogger-image--1359849879.jpg)
Jumla ya Dola za Marekani milioni 53.8 zilipatikana kutokana na mauzo ya vito mbalimbali ndani ya nchi kwa mwaka wa fedha 2013/2014.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Uchambuzi na Uthamini wa Madini ya Almasi na Vito, (TANSORT) kilichopo chini ya Wizara ya Nishati na Madini Archard Kalugendo kwenye semina iliyoshirikisha Makamishna Wasaidizi wa Madini wa Kanda, Afisa Madini Wakazi na Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini inayoendelea Bagamoyo...
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Kahawa ya 2014/15 yaingiza Dola 135 milioni za Marekani