SANDRA AKUMBUSHIA MATESO YA KAOLE
![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ1Um6MUcpbOKCcd3st7EVf8x2kG1ORBOUdQ5OhL2a4*IMv1oVxj1EPtwDthnlwGMcjMJxXBo1hS43MuAE1FqVnX/sandra.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ ametoa dukuduku lake baada ya kuelezea mateso aliyopata kipindi alipokuwa anaanza kujihusisha na masuala ya sanaa katika Kundi la Kaole. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Salma Salmini ‘Sandra’ Sandra aliliambia Ijumaa kuwa, mateso anayoyazungumzia ni yale ya kunyanyaswa na wasanii wenzake huku wakimfanyia vitimbi vya kila...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Feb
Mnyika akumbushia fidia Mloganzila
MBUNGE wa Ubungo John Mnyika amemuomba Rais Jakaya Kikwete kuingilia kati na kutoa kauli kwa umma kuhusu fidia ya ardhi kwa wananchi wa Kata ya Mwembe eneo la Mloganzila kama ilivyoahidiwa kwa nyakati mbalimbali kati ya mwaka 2009 na 2010.
9 years ago
Habarileo15 Sep
Nape akumbushia yaliyotokea NEC
KATIBU wa CCM, Itikadi na Uenezi Nape Nauye, ameanika sababu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutomteua aliyewahi kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa, kuwa mgombea wake urais katika uchaguzi wa mwaka huu, kuwa ni pamoja na kuwa na historia ya kutumia vibaya madaraka yake katika kila ofisi anayopewa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6r1KKFQeXTJkOfyg-P7SysKOmPFGRNGWOXVnj4QCZ4OVnuxHeVDm8stANYP*cyFlioGAxvtu0wKR5LwDhoz*pME/MSUDANI.jpg)
MATESO JUU YA MATESO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JJHwKSwkJNddbQTc453maLHIBFXA9B6cc1T*tpQ0UGm9Mbuz5Me5b1LoXFz44wbU4GW0dvU-P-ObZhEvDqmPmJc/kaole.jpg)
NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaFtDpzTnKUhGJz97zphnSfCvWWAjynj--4kEOt2Cik71oO3TMAJsW4Jfoc2geeRn9FcgG5LlHrs*Qa5tZuaJZu9/CHENI.jpg?width=650)
CHENI AIKUMBUKA KAOLE, KUIRUDISHA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2KhDjiu-wQ6bUSBICJSsHvqvPFiOpFDjbY0tnDjt3yEjGaXa47PejWljyaOIKQdMPiW65YZ3yGEXZRf0CF*RYLv/msanii.jpg?width=650)
MSANII KAOLE AVUNJIKA MGONGO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s72-c/IMG20150207WA0022.jpg)
MSANII WA KUNDI LA KAOLE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-TAwaEl4B-eI/VNc5jE1QaPI/AAAAAAAHCc0/0H0fIZXcqhc/s1600/IMG20150207WA0022.jpg)
Taarifa za msiba huo zilitolewa jana na Watoto wa Marehemu kwa ndugu na majirani wa eneo hilo,huku tetesi zikienea kwamba wamefanya hivyo ili kukwepa aibu kwa majirani kutokana na nyumba aliyokuwa akiishi mama yao huyo kuwa ni chakavu,hivyo...
10 years ago
Bongo Movies25 Jul
Rushwa ya ngono iliniondoa Kaole-Batuli
Msanii wa bongo movie Batuli ameweka wazi kuwa alikimbia kundi la Kaole sanaa Group baada ya kukutana na changamoto nyingi ikiwepo changamoto ya rushwa ya ngono, Batuli amefunguka hayo leo alipokuwa katika kipengele cha Kikaangoni kinachofanyika kila siku ya Jumatano kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Batuli alifunguka na kusema kuwa moja ya sababu kubwa ambayo ilimfanya kuondoka katika kundi hilo ilikuwa kuombwa rushwa ya ngono ili aweze kupewa kipaumbele zaidi kuliko wasanii wengine...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Jumuiya CCM kurejesha shule yake ya Kaole
JUMUIYA ya Wazazi kupitia CCM wilayani hapa imeweka mikakati mbalimbali ya kuirejesha shule yake ya ufundi ya Kaole, ianze kuchukua wanafunzi wakiwemo wale wa kutoka wilaya hiyo.