Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jumuiya CCM kurejesha shule yake ya Kaole

JUMUIYA ya Wazazi kupitia CCM wilayani hapa imeweka mikakati mbalimbali ya kuirejesha shule yake ya ufundi ya Kaole, ianze kuchukua wanafunzi wakiwemo wale wa kutoka wilaya hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CCM kurejesha majimbo yaliyochukuliwa upinzani

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema wamejiandaa kurejesha majimbo yote yaliyochukuliwa na vyama vya upinzani. Aidha amesema wana uhakika wa kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

CCM yapania kurejesha Jimbo la Iringa Mjini

BAADA ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Kalenga, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinajiimarisha zaidi kirejeshe mikononi mwake, Jimbo la Iringa mjini mikononi mwake. Jimbo la Iringa Mjini linaloongozwa na Mchungaji Peter Msigwa aliyechaguliwa mwaka 2010 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA,MWIGULU NCHEMBA ATUA DODOMA KUREJESHA FOMU YA URAIS,KAULI MBIU YAKE YAENDELEA KUWIKA

Mgombea Urais ndani ya CCM Mh:Mwigulu Nchemba akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndugu Luhavi  fomu zilizokamilika idadi ya wadhamini kama Utaratibu wa Chama ulivyoagiza mapema hii leo Mjini Dodoma.Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi waliofika kumsindikiza wakati wa kurejesha fomu ya Urais CCM-DodomaBaada ya safari ya ndefu ya Kutafuta wadhamini Mikoani,Mwigulu Nchemba akiwa ameongozana na Mke wake Bi.Neema Mwigulu akiwasili Makao makuu ya CCM Mjini Dodoma kwaajili ya Kurejesha fomu...

 

10 years ago

Vijimambo

WAKINA MAMA WA UMOJA WA JUMUIYA YA KIISLAM KAHAMA WAAZISHA SHULE

 Mazungumzo Sheikh wa wilaya ya kahama wa kwanza kushoto Omary Damka Na Mgeni wake Sheikh Khamis Mataka Sheikh wa wilaya ya kahama Omary Damka akisema neno kwa mgeni Rasmin Mwenyekiti wa Ccm Mkoa wa shinyanga Khamis Mgeja akitoa neno la  shukurani kwa mgeni Rasmi kwenye Harambee hiyo ya ujenzi wa shule ambapo mgeja alichangia shilingi milioni mbili 2 na mifuko kuni ya saruji . Sheikh Khamis Mataka akitoa Hotuba kwenye Harambee hiyo. Baadhi ya kinamama wa jumuiya ya kislamu mwenye maiki ni...

 

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM (TAIFA) AWAAPISHA WANACHAMA 367 WAPYA WA CCM WILAYA YA NYASA MKOANI RUVUMA


 Mwenyekiti  wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah  Bulembo aliyevaa taji shingoni akicheza ngoma ya asili katika kijiji cha Kingirikiti Wilaya ya Nyasa wakati wa Ziara yake siku ya jana.  Mwenyekiti  wa Jumuiya ya wazazi ya Chama Cha mapinduzi CCM (Taifa) Bw. Abdallah  Bulembo akiwaapisha wanachama wapya wa  CCM  Kikundi cha akina mama  kikitoa burudani.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

JK mgeni rasmi mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari Jumuiya ya Afrika Mashariki

 Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki(FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 22 na kuzinduliwa rasmi tarehe 24 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.  Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa TAMISEMI Jumanne Sagini, Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya...

 

5 years ago

Michuzi

MAMBO YAMEIVA CCM...WANAOTAKA KUGOMBEA URAIS WAPEWA RATIBA YA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetengaza rasmi ratiba ya uchukuaji na urejeshaji wa fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tekiti cha Chama hicho katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25,2020.
Akitangaza ratiba hiyo leo Juni 12,2020 jijini Dar es Salaa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema ratiba ya kumpata mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanza Juni 15 mpaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Jumuiya ya A. Mashariki: Mwaka 2013 iliyumba, kila nchi ilifanya yake

Mwaka 2013 uhusiano katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ulionekana kuyumba hasa baada ya nchi za Kenya, Rwanda na Uganda kujitenga na kuanza kutekeleza baadhi ya miradi iliyoonekana kuwa ni ya jumuiya hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani