WanaIlboru wadhamiria kurejesha fahari ya Shule yao!!
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
Vijimambo02 Aug
Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0145.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0178.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Dewji Blog27 Dec
Wahitimu wa zamani shule ya Mwenge,wakumbuka shule yao!!
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wahitimu wa zamani shule ya Mwenge, wakumbuka shule yao
Mwenyekiti wa kikundi cha wahitimu wa shule sekondari Mwenge mwaka 1994,mchungaji wa KKKT, Henry Kimolo,akizungumza kwenye kikao cha pomoja kati ya uongozi wa shule ya sekondari Mwenge na wahitimu wa kidato cha nne mwaka 1994.
Na Nathaniel Limu
[Singida] Jumla ya wanafunzi 164 waliohitimu kidato cha nne mwaka 1994 shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa,kati yao 90 wameunda ‘kikosi kazi’ kwa lengo la kurejesha makali ya taaluma kama ilivyokuwa katika miaka ya nyuma.
Mafanikio hayo ya...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Jumuiya CCM kurejesha shule yake ya Kaole
JUMUIYA ya Wazazi kupitia CCM wilayani hapa imeweka mikakati mbalimbali ya kuirejesha shule yake ya ufundi ya Kaole, ianze kuchukua wanafunzi wakiwemo wale wa kutoka wilaya hiyo.
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
Wanaenaboishu kukutana kupanga mikakati ya kusaidia shule yao
Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya ya Wanafunzi waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu Renalda Shirima akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu mkutano wao wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam kwa ajili ya kuangalia fursa mbalimbali ambazo wanaweza kushirikiana katika kuleta maendeleo ya taaluma katika shule yao ya zamani kwa kuboresha mazingira ya wanafunzi na walimu ya kujifunzia na kufundishia. Kushoto ni Afisa...
9 years ago
Michuzi03 Dec
WANAFUNZI WALIOWAHI KUSOMA ENABOISHU KUKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KUSAIDIA SHULE YAO
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya hiyo ya Enaboishu Renalda Shirima alisema mkutano huo wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam.
Ambapo katika...
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!
Katibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.
Na Nathaniel Limu
[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula. Imedaiwa wanafunzi hao wa...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
NHIF, KfW wadhamiria kuokoa afya ya mjamzito
SUALA la afya ya mama na mtoto ni moja ya vipaumbele vya Malengo ya Milenia ambayo Tanzania inatekeleza, ambapo lengo ni kutokomeza vifo vinavyotokana na uzazi. Hilo ni eneo ambalo...