Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WanaIlboru wadhamiria kurejesha fahari ya Shule yao!!

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.

Mgeni Rasmi Balozi Kassimu Mwawado, akikata utepe ili kufungua Ofisi ya walimu wa shule ya msingi Muhimbili, iliyokarabatiwa na kuweka viti 29 na meza 8 na wanafuzi waliohitimu darasa la saba katika shule hiyo Mwaka 1988, pamoja na kiti na meza ya kisasa katika ofisi ya Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo katika hafra fupi iliyoandaliwa na wanafunzi hao ikiwa imehudhuliwa na walimu wa shule hiyo wa tangu mwaka 1978. Walimu wa Shule ya Msingi Muhimbili wakifurahia kupewa viti vipya pamoja na meza na...

 

10 years ago

Vijimambo

Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao

Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Muhimbili Mwaka 1988, Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungumza. Mwenyekiti wa umoja wa wanafunzi wahitimu wa darasa la saba Shule ya Msingi Muhimbili Mwaka 1988, Bi. Usia Nkhoma Ledama akionesha sehemu ya msaada wa viti na meza na ofisi iliyokarabatiwa na umoja wao. Mkuu wa Shule ya Msingi Muhimbili wa sasa, Dafrossa Asenga (katikati) akizungumza kuwakaribisha wageni katika hafla ya kukabidhiwa msaada wa viti na meza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wahitimu wa zamani shule ya Mwenge,wakumbuka shule yao!!

IMG_1624

Mwenyekiti wa kikundi cha wahitimu wa shule sekondari Mwenge mwaka 1994,mchungaji wa KKKT,Henry Kimolo,akizungumza kwenye kikao cha pomoja kati ya uongozi wa shule ya sekondari Mwenge na wahitimu wa kidato cha nne mwaka 1994. Na Nathaniel Limu [Singida] Jumla  ya wanafunzi 164 waliohitimu kidato cha nne mwaka 1994 shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa,kati yao 90 wameunda ‘kikosi kazi’ kwa lengo la kurejesha makali ya taaluma kama ilivyokuwa katika miaka ya nyuma.   Mafanikio hayo ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wahitimu wa zamani shule ya Mwenge, wakumbuka shule yao

IMG_1624

Mwenyekiti wa kikundi cha wahitimu wa shule sekondari Mwenge mwaka 1994,mchungaji wa KKKT, Henry Kimolo,akizungumza kwenye kikao cha pomoja kati ya uongozi wa shule ya sekondari Mwenge na wahitimu wa kidato cha nne mwaka 1994.

Na Nathaniel Limu

[Singida] Jumla  ya wanafunzi 164 waliohitimu kidato cha nne mwaka 1994 shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa,kati yao 90 wameunda ‘kikosi kazi’ kwa lengo la kurejesha makali ya taaluma kama ilivyokuwa katika miaka ya nyuma.

Mafanikio hayo ya...

 

10 years ago

Habarileo

Jumuiya CCM kurejesha shule yake ya Kaole

JUMUIYA ya Wazazi kupitia CCM wilayani hapa imeweka mikakati mbalimbali ya kuirejesha shule yake ya ufundi ya Kaole, ianze kuchukua wanafunzi wakiwemo wale wa kutoka wilaya hiyo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanaenaboishu kukutana kupanga mikakati ya kusaidia shule yao

1A

Mwenyekiti wa Muda  wa Jumuiya ya Wanafunzi waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu Renalda Shirima akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu mkutano wao wa  kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam kwa ajili ya kuangalia fursa mbalimbali ambazo wanaweza kushirikiana katika kuleta maendeleo ya taaluma katika shule yao ya zamani kwa kuboresha mazingira ya wanafunzi na walimu ya kujifunzia na kufundishia. Kushoto ni Afisa...

 

9 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WALIOWAHI KUSOMA ENABOISHU KUKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KUSAIDIA SHULE YAO

Na Zawadi Msalla-MAELEZOWANAFUNZI waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu ya jijini Arusha wanatarajia kukutana tarehe 5 Desemba 2015 ili kujadili masuala mbalimbali ikiwemo namna ya kuisaidia shule hiyo katika kuboresha maendeleo ya taaluma.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Muda  wa Jumuiya hiyo ya Enaboishu Renalda Shirima alisema mkutano huo wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam. 
Ambapo katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

WANAFUNZI WENYE ALBINISM: Wakatisha masomo baada ya shule yao kukosa chakula Mkoani Singida!

ZIADAKatibu Mkuu wa chama cha Albino Tanzania (TAS) Ziada Nsembo akizungumza kwenye semina ya uhabarisho juu ya majukumu ya waandishi wa habari kuibua na kuandika habari zinazohusu watu wenya ulemavu wa aina mbalimbali.

Na Nathaniel Limu

[SINGIDA] Jumla ya wanafunzi 37 wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wa shule ya msingi mchanganyiko Izenga wilaya ya Iramba mkoani Singida,wamelazimika kukatisha masomo yao kwa muda usiojulikana kutokana na shule hiyo kukosa chakula.   Imedaiwa wanafunzi hao wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHIF, KfW wadhamiria kuokoa afya ya mjamzito

SUALA la afya ya mama na mtoto ni moja ya vipaumbele vya Malengo ya Milenia ambayo Tanzania inatekeleza, ambapo lengo ni kutokomeza vifo vinavyotokana na uzazi. Hilo ni eneo ambalo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani