Wanaenaboishu kukutana kupanga mikakati ya kusaidia shule yao
Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya ya Wanafunzi waliowahi kusoma katika shule ya Sekondari Enaboishu Renalda Shirima akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam juu mkutano wao wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam kwa ajili ya kuangalia fursa mbalimbali ambazo wanaweza kushirikiana katika kuleta maendeleo ya taaluma katika shule yao ya zamani kwa kuboresha mazingira ya wanafunzi na walimu ya kujifunzia na kufundishia. Kushoto ni Afisa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi03 Dec
WANAFUNZI WALIOWAHI KUSOMA ENABOISHU KUKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KUSAIDIA SHULE YAO
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Mwenyekiti wa Muda wa Jumuiya hiyo ya Enaboishu Renalda Shirima alisema mkutano huo wa kwanza utafanyika katika matawi mawili ya mkoa wa Arusha na Dar es salaam.
Ambapo katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-13ANUQ6k5js/XuHoyK8sgSI/AAAAAAAEHm4/o9CZ07V_7bsYotTX8ZsK1Bf2a092A358QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200610_094623_200%25281%2529.jpg)
POLISI NA WAHUDUMU WA BAR WAKUTANA KUPANGA MIKAKATI YA KIUSALAMA
Akizungumza na wahudumu hao jana, Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani humo Nico Livingstone alisema, suala la ulinzi la mwananchi na mali ni la kila mmoja na sio taasisi moja. Amewataka wahudumu na wamiliki wa bara na nyumba za kulala wageni kutoa taarifa kwa polisi pale...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Lt-WlNiAJfsMkZvXHu0C-vhG2K*KzIhluueftYD5gELyDP5nRfwETm5P9txwBqUHf0R37ZkzFqNTPBPYnt111sf/1msibawarecho1.jpg?width=650)
WASANII WAKUTANA VIWANJA VYA LEADERS KUPANGA MIKAKATI YA MSIBA WA RECHO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-skrh5DAEvMY/U80_Wf7t92I/AAAAAAAF4ZY/J-giBoDMqaE/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Wataalamu wa kilimo wilayani Handeni kukutana kuweka mikakati ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Wahitimu wa zamani shule ya Mwenge, wakumbuka shule yao
Mwenyekiti wa kikundi cha wahitimu wa shule sekondari Mwenge mwaka 1994,mchungaji wa KKKT, Henry Kimolo,akizungumza kwenye kikao cha pomoja kati ya uongozi wa shule ya sekondari Mwenge na wahitimu wa kidato cha nne mwaka 1994.
Na Nathaniel Limu
[Singida] Jumla ya wanafunzi 164 waliohitimu kidato cha nne mwaka 1994 shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa,kati yao 90 wameunda ‘kikosi kazi’ kwa lengo la kurejesha makali ya taaluma kama ilivyokuwa katika miaka ya nyuma.
Mafanikio hayo ya...
9 years ago
Dewji Blog27 Dec
Wahitimu wa zamani shule ya Mwenge,wakumbuka shule yao!!
10 years ago
Vijimambo02 Aug
Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0145.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0178.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0025.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
StarTV18 Dec
TALGWU wamuomba Rais Magufuli kusaidia malipo yao ya bilioni 18.
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU kimemuomba Rais John Magufuli kuingilia kati madai yao ili waweze kulipa malimbikizo yao ya zaidi ya Shilingi Bilioni 18 za wafanyakazi wa serikali za mitaa kabla ya kumalizika kwa Desemba mwaka huu.
Fedha hizo ambazo ni madai ya Agosti 2011 hadi Aprili mwaka 2012 zinadaiwa kuwa ni malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi ya likizo, masomo, uhamisho wa wafanyakazi pamoja na matibabu na kwamba zisipolipwa TALGWU inakusudia kuingia kwenye...